Mbona azam, unga wa bahresa yote hayo ni majina ya watu na mnafagilia?
Pafyumu nyingi ni za majina ya mastaa wa nje na mnafagilia?
Azam ni jina la kampuni, ngano zake zinaitwa, azam A, ngano poa, nk. ni kweli wakati mwingine ukiweka jina kama brand unapoteza wateja fulani though not always.