wabongo nuksi,ila yangeitwa beyonce hapa kila mtu angesifia,penye sifa tutoe jamani bint anajitahidi sana
nakuunga mkono sana kwa asilimia 100.halafu angeomba hata ushauri kwa watu wangemshauri vzr.jina sijalipenda loohhongera sana Jaydee
ila angeyaita MACHOZI yangependeza sana
Upuuzi kwani yeye ndiye chanzo cha maji? Maji yake yanapatikana mlima gani vile???? Hizi promo zingine bila kutumia busara na akili nafsi tatu zitawacost. Maji ni mali ya Tz. si mali ya mtu binafsi. Tengeneza juice iite Lady whatever.