Wambandwa
JF-Expert Member
- Dec 3, 2006
- 2,249
- 833
Leo jioni majira ya saa kumi na moja au kumi na mbili wakati mvua inanyesha pale Mwenge kituo cha kwenda Tegeta, basi la JWTZ lilisimama na kuwapa lift watu waliokuwa wanaelekea njia yao: Lugalo na Kawe. Wamenigusa sana kwa moyo huo wa kizalendo na mapenzi kwa wananchi wenzao. KWELI NYIE NI WALINZI WETU....... MBARIKIWE SAAAANA kwa sababu kitendo mlichofanya magari ya serikali (yaliyonunuliwa kwa kodi zetu) hayawezi kufanya hivyo!