James7
Senior Member
- Nov 2, 2010
- 120
- 82
Lakini hapo nawe unakosea, majukumu ya jwtz ni tofauti na polisi, hawa polisi shughuri zao za kila siku ni za kukutana na raia, ndio maana ni raisi kuona mabaya yao, ni kutokana na majukumu yao. Hata hao unaowasifia tena wao ndio wanyama kweli kuliko hata hawa polisi, wa kova, waulize watu wa mtwara, na waathirika wa operation tokomeza.
Wewe choko stiki utakula?