Mwanashheria njaa
JF-Expert Member
- Sep 24, 2018
- 1,790
- 2,325
Mwendazake zake wakati anaondoa watu bila hata sababu za msingi, mlikuwa mnademka mitandaoni kumsifia na kumuabudu,,Yes ataondoka na kila mtu ataondoka, hakuna atakayeishi milele. Hoja yangu hapa ni watu watuhumiwe kwa tuhuma za haki, na ikibidi waondolewe, then, waondolewe kwa haki kwa tuhuma za ukweli na sio waondolewe kwa kupikiwa majungu.
P
We ndio ulikuwa mmoja wanaodemka kufurahia watu wakitumbuliwa enzi za mwendazake, wakati Nape anapigwa chini ulikuwa mmoja wa watu waliofurahia Sana