Hongera JF kwa Whistleblow, JF tubadilike, tusichafue majina ya Watu kwa tuhuma za Hearsay zisizo na Uthibitisho, Ukituhumu, Weka Uthibitisho

Kuna kundi la VIJANA walioibuka kufanya siasa za kishabiki (siasa za kimakundi-makundi).

Kwao yoyote yule ambaye si kundi lao basi watamsakama ilimradi atoke tu, ndomaana Ukivhunguza vizito utagundua haohao wanaotaka Dotto Biteko ang'oke kwenye uwaziri kwa kutoa tuhuma wasizoweza kuzithibitisha ndo haohao wanaoshupaza shingo kutetea upuuzi unaoendelea kwenye wizira ya January.Kwahiyo kikubwa hapo sip uzalendo bali ni upumbavu tu, haiwezekani mtu huyohuyo amshitumu Biteko alafu huyohuyo atetee mgao wa umeme kwa gharama yoyote.
 
Binafsi naona kama hakumtendea haki ingawa inawezekana akawa na uhakika kwa alicho kiandika.
Mkuu Mmawia , uko right ndio maana nimeshauri, ukituhumu kama una uhakika, leta na ushahidi, au uthibitisho, vinginevyo leta tuu tuhuma as a Whistleblowing lakini usitaje majina ya mtuhimiwa.
P
 
kuchafuana ndio imekuwa tabia ya Watanzania walio wengi, na Tabia hii imeeenea kila mahali, sio tu kwa mawaziri bali tabia hiyo imeshamiri maofisini hasa ktk ofisi za umma.

watu wanachafuana sana huko, yaani ni mwendo wa kuangushana ili mwengine apande.

Jambo la msingi ni kwa viongozi wenye dhamana wawe waangalifu ktk kuchukua hatua, wasi sikilize majungu.

majungu yanaharibu na kuwapoteza watendaji wazuri na waadilifu.
 
Unathibitishaje wizi, hapa sio mahakamani tuhuma wana_whistleblow TAKUKURU watathibitisha.


Nani alijua kuwa Ole Sabaya ni jambazi, namuhujumu uchumi?


Acha watu WAPULIZE FILIMBI Mgambo watafanya kazi yao.

Ana conflict of interest madini maana tunasikia yeye pia anafanya biashara ya madini.
 
Umeeleweka Mkuu,nakubaliana na wewe,tuhuma ziwe na vivid evidence na sio tu mtu anatuhumu kwa hisia tu au anayetuhumu nae hizo tuhuma amezisikia sehemu na akawahi kuja kuanzisha Thd JF ili aonekane nae anajua,
 
Pascal Mayalla
Inamaana alichosema waziri Mchengerwa ni uongo?
Mkuu Babu Ochu , it's very unfortunately sijasikia Waziri Mchengerwa amesema nini, inaweza kuwa ni kweli au ni uongo, kama ile issue ya kuumwa kwa JPM, viongozi wetu wakubwa tuu, walitangaza uongo mkubwa wa wazi hadharani mchana kweupe, hadi kifo kilipo waumbua, what do you expect to the rest?. Please share alichosema ili tuki scrunize tujue ni kweli au uongo.
P
 
Wanabodi,
Nimekutana na bandiko hili
lenye tuhuma lukuki dhidhi ya kiongozi huyu..

Ukisikia majungu ndio haya. Ukituhumu humu, leta na uthibitisho.
Hapa umevurumisha tuhumu lukuki dhidi ya Biteko-
Tuhuma zenyewe ni hizi
  1. Dotto Biteko ameiba kiasi kikubwa cha pesa, kiasi gani?-Ni tuhuma tuu, hakuna uthibitisho!.
  2. Dotto Biteko ni mshirika usafirishaji madini ya Tanzanite kwa njia za panya kwa kushirikiana na wafanyabiashara. How?. Ni tuhuma tuu hazina uthibitisho wowote?.
  3. Dotto Biteko anaiba madini mengi, ameibaje, ameiba wapi, madini yapi, - Ni tuhuma tuu, hakuna uthibitisho wowote.
  4. Dotto Biteko ana percentage kwenye migodi kibao, percentage ngapi, migodi gani?-Ni tuhuma tuu hazina uthibitisho wowote!.
  5. Dotto Biteko ni jangili wa mwendazake!. Ujangili gani?, unamtukana marehemu na kumsingizia ujangili?!, hii ni dhambi!.
  6. Doto Biteko kila siku anashinda kwa waganga, waganga gani?, hili la mtu kushinda kwa waganga pia linaingilia the right to privacy ya mtu, kama watu wanaoshinda hospitali, makanisani, nyumba za ibada a makanisa ya walokole, haya ni mambo ya imani, Tanzania tuko huru kuamini lolote, waumini wa Mungu washinde makanisani, waumini wa tiba za kizungu washinde mahospitalini, waumini wa dini za asili, tushinde kwa mizimu na waganga wa kienyeji, tusiingilie privacy za watu!.
Mode: JF tuweke standards za kulinda heshima na majina ya watu, dhidi ya mtu kuchafuliwa jina kwa chuki binafsi. Iongezwe kanuni, mtu ukileta tuhuma za mtu yoyote au kiongozi yoyote kwa jf as a whistleblower, lazima tuhuma hizo ziandamane na uthibitisho, ndipo jina la mtuhumiwa litajwe, kumtuhumu mtu kwa kumtaja kwa jina, bila ya uthibitisho wowote, ni kuchafua tuu bure majina ya watu.

Najua JF as a whistleblower, imefanya kazi nzuri na inaendelea kufanya kazi nzuri, lakini na sisi sasa ni lazima tubadilike, kwenye tuhuma, lazima tufanye a due diligence kwa kuhakikisha tunafuata sheria, taratibu na kanunu, "the one who alleges, must prove", ukileta tuhuma zozote za hearsay bila uthibitisho, yes zilete, as a whistleblower, but don't mention names without proof. Yaani leta tuhuma, lakini usitaje majina bali taja tuu cheo na indications zote ambazo zita point kwa mhusika bila kumtaja jina na kumchafua bila uthibitisho wowote!.

Nimetokea kumfahamu mtuhumiwa huyu kupitia kazi yangu ya uandishi, kwa mambo anayoyafanya hadharani, huyu ni mmoja wa wazalendo wa kweli wa taifa hili.
Msikilize Dotto Biteko kwenye video hii.

Ukimzikiliza Biteko, utakubaliana na mimi, huyu ni mzalendo wa kweli wa nchi hii, kumtuhumu kwa tuhuma lukiki bila ushahidi wowote au uthibitisho wowote, sio kumtendea haki.

Hongera sana wana jf kwa kwa kazi kubwa nzuri ya Whistleblowing, ila sasa tubadilike, tukitoa tuhuma, tulete na uthibitisho kuepuka kuchafua bure majina ya watu.

Paskali.

Uzalendo unapimwa kwa kusikiliza? Mpiga mbiu kadai madini kusafirishwa kwa njia ya panya hili nalo linahitaji detail zaidi? Maana njia za panya ni mipakani na kutouza kupitia masoko ya madini. Sasa haya hayajulikani? Kama hayajulikani mbona Waziri ofisi ya mkuu wa nchi kasema kuna wizi unafanyika?
 
Wanabodi,
Nimekutana na bandiko hili
lenye tuhuma lukuki dhidhi ya kiongozi huyu..

Ukisikia majungu ndio haya. Ukituhumu humu, leta na uthibitisho.
Hapa umevurumisha tuhumu lukuki dhidi ya Biteko-
Tuhuma zenyewe ni hizi
  1. Dotto Biteko ameiba kiasi kikubwa cha pesa, kiasi gani?-Ni tuhuma tuu, hakuna uthibitisho!.
  2. Dotto Biteko ni mshirika usafirishaji madini ya Tanzanite kwa njia za panya kwa kushirikiana na wafanyabiashara. How?. Ni tuhuma tuu hazina uthibitisho wowote?.
  3. Dotto Biteko anaiba madini mengi, ameibaje, ameiba wapi, madini yapi, - Ni tuhuma tuu, hakuna uthibitisho wowote.
  4. Dotto Biteko ana percentage kwenye migodi kibao, percentage ngapi, migodi gani?-Ni tuhuma tuu hazina uthibitisho wowote!.
  5. Dotto Biteko ni jangili wa mwendazake!. Ujangili gani?, unamtukana marehemu na kumsingizia ujangili?!, hii ni dhambi!.
  6. Doto Biteko kila siku anashinda kwa waganga, waganga gani?, hili la mtu kushinda kwa waganga pia linaingilia the right to privacy ya mtu, kama watu wanaoshinda hospitali, makanisani, nyumba za ibada a makanisa ya walokole, haya ni mambo ya imani, Tanzania tuko huru kuamini lolote, waumini wa Mungu washinde makanisani, waumini wa tiba za kizungu washinde mahospitalini, waumini wa dini za asili, tushinde kwa mizimu na waganga wa kienyeji, tusiingilie privacy za watu!.
Mode: JF tuweke standards za kulinda heshima na majina ya watu, dhidi ya mtu kuchafuliwa jina kwa chuki binafsi. Iongezwe kanuni, mtu ukileta tuhuma za mtu yoyote au kiongozi yoyote kwa jf as a whistleblower, lazima tuhuma hizo ziandamane na uthibitisho, ndipo jina la mtuhumiwa litajwe, kumtuhumu mtu kwa kumtaja kwa jina, bila ya uthibitisho wowote, ni kuchafua tuu bure majina ya watu.

Najua JF as a whistleblower, imefanya kazi nzuri na inaendelea kufanya kazi nzuri, lakini na sisi sasa ni lazima tubadilike, kwenye tuhuma, lazima tufanye a due diligence kwa kuhakikisha tunafuata sheria, taratibu na kanunu, "the one who alleges, must prove", ukileta tuhuma zozote za hearsay bila uthibitisho, yes zilete, as a whistleblower, but don't mention names without proof. Yaani leta tuhuma, lakini usitaje majina bali taja tuu cheo na indications zote ambazo zita point kwa mhusika bila kumtaja jina na kumchafua bila uthibitisho wowote!.

Nimetokea kumfahamu mtuhumiwa huyu kupitia kazi yangu ya uandishi, kwa mambo anayoyafanya hadharani, huyu ni mmoja wa wazalendo wa kweli wa taifa hili.
Msikilize Dotto Biteko kwenye video hii.

Ukimzikiliza Biteko, utakubaliana na mimi, huyu ni mzalendo wa kweli wa nchi hii, kumtuhumu kwa tuhuma lukiki bila ushahidi wowote au uthibitisho wowote, sio kumtendea haki.

Hongera sana wana jf kwa kwa kazi kubwa nzuri ya Whistleblowing, ila sasa tubadilike, tukitoa tuhuma, tulete na uthibitisho kuepuka kuchafua bure majina ya watu.

Paskali.

Nanyinyi wafuasi wa Dikteta muache kumchafua waziri wa Nishati, kutwa mnamchafua bila uthibitisho wowote,kisa tu ndugu yenu katolewa hiyo wizara
 
Mkuu Babu Ochu , it's very unfortunately sijasikia Waziri Mchengerwa amesema nini, inaweza kuwa ni kweli au ni uongo, kama ile issue ya kuumwa kwa JPM, viongozi wetu wakubwa tuu, walitangaza uongo mkubwa wa wazi hadharani mchana kweupe, hadi kifo kilipo waumbua, what do you expect to the rest?. Please share alichosema ili tuki scrunize tujue ni kweli au uongo.
P
Kama unaamini viongozi walitangaza uongo hadharani kuumwa kwa JPM kwanini unamuamini "kiongozi" Biteko?

Don't try to take him off the hook
 
Ndio tabia ya siku hizi wanadhani kuna mashindano, "mtu wao" akisemwa kwa tabia yake ya hovyo, basi nao wanakurupuka wanaleta uongo wao ili kulipiza kisasi, kama Biteko mwizi kwanini wasiende mahakamani?

Nimeshangaa sana mpaka waziri asiehusika na hiyo wizara nae anatuhumu, hili tatizo inawezekana kabisa lina mizizi mirefu zaidi ya tunavyodhani, nawasubiri wamtoe halafu nione watamuweka nani.

Wanadhani hii nchi ni mali ya kikundi cha watu fulani.
we Ni mpuuzi,"eti nawasubiri wamtoe halafu nione watamuweka wapi"

hivi nyie misukule Ya dikteta mmerogwa au, Sasa mama atapiga chini masalia yote ya mwendazake,
 
Mkuu Mmawia , uko right ndio maana nimeshauri, ukituhumu kama una uhakika, leta na ushahidi, au uthibitisho, vinginevyo leta tuu tuhuma as a Whistleblowing lakini usitaje majina ya mtuhimiwa.
P

Naungana na wewe kwa hili.

Lkn Pascally kwa jinsi upepo wa kisiasa hapa nchini kwetu hasa kutoka ndani ya ccm kuna makundi yamezuka hasa baada ya kifo cha marehemu magufuli.

Kuna makundi yanaendeleza malumbano kwa kuiona awamu ya 5 ilikuwa mzuri na imara kuliko awamu ya 6 na watu wanaongea bila ya uoga.

Binafsi naona mh Biteko anaingizwa kwenye hizo tuhuma kisa asili yake ya alipo pata huo uwaziri na wapi alipo zaliwa .

Siamini kama utanielewa ila hayo ni mawazo yangu binafsi.
 
Ndio tabia ya siku hizi wanadhani kuna mashindano, "mtu wao" akisemwa kwa tabia yake ya hovyo, basi nao wanakurupuka wanaleta uongo wao ili kulipiza kisasi, kama Biteko mwizi kwanini wasiende mahakamani?

Nimeshangaa sana mpaka waziri asiehusika na hiyo wizara nae anatuhumu, hili tatizo inawezekana kabisa lina mizizi mirefu zaidi ya tunavyodhani, nawasubiri wamtoe halafu nione watamuweka nani.

Wanadhani hii nchi ni mali ya kikundi cha watu fulani.
Mkuu denooJ , thanks for this, ila sijapata bahati kumsikia waziri mkwe kasema nini!, please share links.
P
 
Ndio tabia ya siku hizi wanadhani kuna mashindano, "mtu wao" akisemwa kwa tabia yake ya hovyo, basi nao wanakurupuka wanaleta uongo wao ili kulipiza kisasi, kama Biteko mwizi kwanini wasiende mahakamani?

Nimeshangaa sana mpaka waziri asiehusika na hiyo wizara nae anatuhumu, hili tatizo inawezekana kabisa lina mizizi mirefu zaidi ya tunavyodhani, nawasubiri wamtoe halafu nione watamuweka nani.

Wanadhani hii nchi ni mali ya kikundi cha watu fulani.
Umenikumbusha 2015 wakati Lissu anampigia kampeni Lowassa, alisema kama hivyo kwamba kama Lowassa fisadi mbona hajapelekwa mahakamani.
 
Tutangulize maslahi ya taifa kwanza, makundi, siasa za chuki Ni laana kwa taifa letu. Dotto Ni MTU sahihi alipo ana maono na tafsiri Bora Sera yetu madini. Apewe ushirikiano Karibuni sector madini inachangia Sehemu kubwa GDP, miaka michache ijayo tutaachana na adha hisani Kama hii ya 1.3T ya uviko.
Zipo fursa ndogo kuambatana na wizara husika Ni motisha kwake tuache wivu wa kijinga.
 
Naungana na wewe kwa hili.

Lkn Pascally kwa jinsi upepo wa kisiasa hapa nchini kwetu hasa kutoka ndani ya ccm kuna makundi yamezuka hasa baada ya kifo cha marehemu magufuli.

Kuna makundi yanaendeleza malumbano kwa kuiona awamu ya 5 ilikuwa mzuri na imara kuliko awamu ya 6 na watu wanaongea bila ya uoga.

Binafsi naona mh Biteko anaingizwa kwenye hizo tuhuma kisa asili yake ya alipo pata huo uwaziri na wapi alipo zaliwa .

Siamini kama utanielewa ila hayo ni mawazo yangu binafsi.
Mkuu Mmawia , nakuelewa sana kuliko unavyodhani. Kwanza ni kweli awamu ya 5 hawakuwa malaika, na ni kweli kuna watu waliteuliwa kwasababu zile za kanda pendwa, ni kosa kufanya nepotism, kwa kuwateua watu wa kabila lako, lakini sio wateuliwa wote wa kabila hilo wameteuliwa kwa nepotism, walioteuliwa kwa kubebwa tuu, halafu can't perfom, can't deliver, ni right kutumbuliwa, lakini hii witch hunt kuwa target wote wa kanda pendwa , hata wale the clean ones who delivers, kwa kuwapikia majungu, kuwazushia tuhuma za uzushi, uongo, fitna na majungu, halafu wakasikilizwa, karma haitakubali, karma hainaga mswalie Mtume. Watu watuhumiwe kwa haki na waadhibiwe kwa haki na sio kimajungu majungu. Mimi ni muumini number 1, kuwa hakuna kitu kinachoitwa the "Sukuma Gang".
P
 
Back
Top Bottom