engmtolera
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 5,149
- 1,441
Dada mambo ya eye contact hajui kabisaa! Hongera mkwe,Mungu akujaalie mafisadi wasikusumbue. Utulie sasa.
labda elimu ya kitchen part haijamkolea na lawama tunazitupa kwenu akina dada,we si unaona Jerry alivyo onyesha ushirikiano?
Anaoa halafu akienda gerezani atamuachia nani huyo mke wake? Uamuzi wake haukuwa wa busara kabisa.
Anaoa halafu akienda gerezani atamuachia nani huyo mke wake? Uamuzi wake haukuwa wa busara kabisa.
Acha tu! Natamani hilo jicho angekua ananiangalia mie,lol!
Huyo mwanamke alivyonunaa?? Kha?? Hata hacheki kidogo