Hongera ITV kwa kuongelea tatizo la chenji kwenye mabenki

Jamesmkude

Member
May 18, 2015
60
69
Tatizo la kukosekana kwa chenji kwenye mabenki limekuwa kero kubwa. Unakwenda benki halafu unapewa 2,000, 1,000 au 500 kwenye bundle za 200,000, 100,000 au 50,000 lakini nyingi zikiwa mbovu sana. Tatizo liko wapi? BOT ifanyie kazi kero hii.
 
Tukisema Ndulu ni jipu watu hawatuelewi, siasa za Kikwete zimemmaliza Gavana Ndulu.
 
Kuna Benki moja ya Mwanga Community Bank... Walinipa bundle ya 500 za 2,000,000/
 
Back
Top Bottom