Kama mfuatiliaji wa maswala ya kisiasa nawapa hongera kwa kuendesha mchakato wa kuchagua watia nia Ubunge na Udiwani mapema kabla ya kusubiri watakaokatwa upande wapili na kukimbilia kwenu kwa hasira nanyi kuwapa nafasi na kutupa vilivyo vyenu.
Niseme tena hongera
Niseme tena hongera