Kibanga Ampiga Mkoloni
JF-Expert Member
- Aug 9, 2007
- 19,079
- 9,245
Mpaka sasa, Chadema imejaza 30% tu ya majimbo yote. Kwengineko bado ni mtihani na wanasuburi kwa hamu watakaopunguziwa CCM. Hata ACT nao wako mkao wa kula ikija swala la wagombea.
wenzio wansema ni 5% vipi wewe umekuja na 30% ??