Basi uache unafiki.Hilo sio jibu lake
Jr[emoji769]
Ni unachokifanya hapa.
BEN KAWA KIBEN10🙄Kila mtu atasema lake.. Wengine watasema umeoa kikongwe... Wengine watasema umeoa mwanamke wa kiume[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119].. Lakini mapenzi ni ya wawili tuuu... Usiwasikize haoView attachment 1026072
Jr[emoji769]
Ubarikiwe mkuu nmekupata.
Tafsiri yake ni hiki unachokifanya hapa.[emoji3][emoji3][emoji3] sawa nitaacha lakini nitafanya hivyo ukinipa tafsiri yake....
Jr[emoji769]
HahahHa, kikubwa ni uvumilivuHapo ndo unampeleka mke mtarajiwa kumtambulisha kwa wazazi unakuta wanakwambia "anhaaa sawa baba, muhimu upendo tu"