teheteheteheeeeeeeeeNasikia jamaa wa Kichaga kaweka pesa benki, kisha akamfata meneja na kumuomba kazi ya ulinzi, kuulizwa sababu, akajibu kuwa kafungua akauti, kwa hiyo anataka kulinda pesa yake.
Huu ubahili umezidi!Jamaa yangu wa kipare alioa kwa ubakhili akaenda honeymoon peke yake.