Honest Discussion: Is there nepotism in the statehouse?

Hao wanafanya kazi ya kujitolea tu, hawalipwi chochote cha mlipa kodi kutoka whitehouse ya Trump.

Siyo kama hapa KWETU Bichwa nafiki anateua kwa kusikilizia upepo,

Anateua MPWA DOTTO JAMES kuwa NAIBU KATIBU MKUU HAZINA, akiona watu wametulia wamejisahau AKAM-PROMOTE akawa KATIBU MKUU HAZINA, wanachota tu MAPENE.

Akamteua HOMEBOY aliyemwachia JIMBO MEDARD KALEMANI awe NAIBU NISHATI na MADINI, alivyoona watu wamejisahau wametulia KAMTUMBUA MUHONGO, KALEMANI na JIWE Wanagonga TEN PERCENT tu miradi mipya ya UMEME.

Hawana SHIDA, MSUKUMA CDF MABEYO anawapa AMANI.

#WanalongatuKIPUSHIkulu

Kwa hiyo hao uliowataja kama wanao uwezo wasiteuliwe kwa kuwa wako karibu au wana uhusiano na JPM???!!!
 
Kwa hiyo hao uliowataja kama wanao uwezo wasiteuliwe kwa kuwa wako karibu au wana uhusiano na JPM???!!!
Mwambie DOTTO aseme TRILION 2.4 ziko wapi ??

Mwambie KALEMANI aweke wazi CCTV za SHAMBULIO la LISSU.
 
Mwambie DOTTO aseme TRILION 2.4 ziko wapi ??

Mwambie KALEMANI aweke wazi CCTV za SHAMBULIO la LISSU.

Wewe ndiyo useme hizo trilion 2.4 unazozijua ziko wapi


Halafu pia ni vema ulisaidie jeshi la polisi kuhusu unachosema kuwa ni CCTV za shambulio la Lissu...inaelekea unajua mengi ...wasaidie polisi kuhusu hili...au weka wazi ni nani alihusika na shambulio la Lissu...kwani inaonekana unajua kuhusu shambulio hilo na pengine hata kabla halijafanyika ulikuwa unajua mhusika/wahusika...
 
Wakati wa Mwl. Nyerere alikuwa na Butiku kama katibu wa Rais (homeboy)
Alikuwa na General Msuguri kama (CDF)
Alikuwa na Warioba kama Attorney General (Homeboy)
Aliwahi kuwa na Joseph Nyerere RC mwanza (Homeboy)
Alikiwa na Bhoke Munanka waziri wa Usalama (homeboy)
Was it a coincidence?

Tuna Huseein Mwinyi Waziri wa Ulinzi kwa sasa. Amekuwa Naibu Waziri enzi za Mkapa na later akawa waziri kamili enzi za JK... kama sio family name ya Mzee Mwinyi, angefika hapo kwa ubavu wake?

JK aliingia na wanamtandao kuchukua a number of key post.

Sidhani kama JPM ni mkabila, but rather, mtu yeyote hata ungekuwa wewe, ni rahisi kufanya kazi na watu unaowaamini na wana utii, pasi chembe ya kukuzunguka ili kupiga deal.
Simwoni JPM mkabila, ila huenda kama binadamu anafanya kazi na watu anaowafahamu na hii iko duniani kote.

JFK alifanya kazi na mdogo wake Robert Kennedy kama AG.
Bush sr, baada ya kutoka madarakani, Bush Jr akaingia Whitehouse....
By the way, hao walioteuliwa ni Watanzania na wana sifa. Siamini kwenye nepotism, but rather the commander in chief is working with subordinate who are loyal to him to ensure his service to Tanzanians is realized.

Wakati tunajiuliza JPM, pia tuangalie CDM jinsi udugu na ushakaji na ukaskaz ulivyoshamiri kwenye fursa za ubunge, nafasi kwenye chama.... vip kama wangepewa nchi, wangeweza kweli ku-strike balance...kumbukeni wakati Kitilya akiwa Kamishna mkuu TRA namna ambavyo kabila lake kilijinafasi... what if mkoa hue ungetoa Prezdaa, najaribu kuwaza kama wangekuwa na uwiano kwenye kugawa keki ya taifa
Orodhesha na ya JPM kama ulivyofanya kwa JPM!
 
Rais Msukuma, makamu wa Rais- Zenji Waziri Mkuu- Lindi, Spika- Dodoma, makamu wake - Mbeya.

Njoo kwa mawaziri waandamizi, Msukuma nadhani ni Mpina na Kalemani tu ndani ya mawaziri waandamizi 20.

Manaiba waziri wapo kama 20 pia, wasukuma sijui kama wapo hata 2 tu.

Twende kwenye vyombo vya usalama,
TISS- Morogoro
JWTZ - Mwanza
Polisi- Mkurya
Uhamiaji- ?
Zimamoto- ?
Madawa ya kulevya - Mmasai

Hizo ndio nafasi kubwa za juu na naamini zinatoa picha ya mbali ya hakuna ukabila hapo vinginevyo labda tuseme Rais kwa kuwa ni Msukuma basi msukuma yoyote haruhusiwi kupata nafasi serikalini.
Kwani Rais ndio anateua Spika na naibu spika?Sioni mantiki yako kuwataja!
 
Wakati wa Mwl. Nyerere alikuwa na Butiku kama katibu wa Rais (homeboy)
Alikuwa na General Msuguri kama (CDF)
Alikuwa na Warioba kama Attorney General (Homeboy)
Aliwahi kuwa na Joseph Nyerere RC mwanza (Homeboy)
Alikiwa na Bhoke Munanka waziri wa Usalama (homeboy)
Was it a coincidence?

Tuna Huseein Mwinyi Waziri wa Ulinzi kwa sasa. Amekuwa Naibu Waziri enzi za Mkapa na later akawa waziri kamili enzi za JK... kama sio family name ya Mzee Mwinyi, angefika hapo kwa ubavu wake?

JK aliingia na wanamtandao kuchukua a number of key post.

Sidhani kama JPM ni mkabila, but rather, mtu yeyote hata ungekuwa wewe, ni rahisi kufanya kazi na watu unaowaamini na wana utii, pasi chembe ya kukuzunguka ili kupiga deal.
Simwoni JPM mkabila, ila huenda kama binadamu anafanya kazi na watu anaowafahamu na hii iko duniani kote.

JFK alifanya kazi na mdogo wake Robert Kennedy kama AG.
Bush sr, baada ya kutoka madarakani, Bush Jr akaingia Whitehouse....
By the way, hao walioteuliwa ni Watanzania na wana sifa. Siamini kwenye nepotism, but rather the commander in chief is working with subordinate who are loyal to him to ensure his service to Tanzanians is realized.

Wakati tunajiuliza JPM, pia tuangalie CDM jinsi udugu na ushakaji na ukaskaz ulivyoshamiri kwenye fursa za ubunge, nafasi kwenye chama.... vip kama wangepewa nchi, wangeweza kweli ku-strike balance...kumbukeni wakati Kitilya akiwa Kamishna mkuu TRA namna ambavyo kabila lake kilijinafasi... what if mkoa hue ungetoa Prezdaa, najaribu kuwaza kama wangekuwa na uwiano kwenye kugawa keki ya taifa
namba 1 sio kweli, tafuta vizuri asili ya Jina hilo.
Tikrudi kwa sasa nadhani pale nyumbani kwa mfalme lugha fulani ya wale washamba itakuwa inaendesha vikao. Hilo halina ubishi
 
Wakati wa Mwl. Nyerere alikuwa na Butiku kama katibu wa Rais (homeboy)
Alikuwa na General Msuguri kama (CDF)
Alikuwa na Warioba kama Attorney General (Homeboy)
Aliwahi kuwa na Joseph Nyerere RC mwanza (Homeboy)
Alikiwa na Bhoke Munanka waziri wa Usalama (homeboy)
Was it a coincidence?

Tuna Huseein Mwinyi Waziri wa Ulinzi kwa sasa. Amekuwa Naibu Waziri enzi za Mkapa na later akawa waziri kamili enzi za JK... kama sio family name ya Mzee Mwinyi, angefika hapo kwa ubavu wake?

JK aliingia na wanamtandao kuchukua a number of key post.

Sidhani kama JPM ni mkabila, but rather, mtu yeyote hata ungekuwa wewe, ni rahisi kufanya kazi na watu unaowaamini na wana utii, pasi chembe ya kukuzunguka ili kupiga deal.
Simwoni JPM mkabila, ila huenda kama binadamu anafanya kazi na watu anaowafahamu na hii iko duniani kote.

JFK alifanya kazi na mdogo wake Robert Kennedy kama AG.
Bush sr, baada ya kutoka madarakani, Bush Jr akaingia Whitehouse....
By the way, hao walioteuliwa ni Watanzania na wana sifa. Siamini kwenye nepotism, but rather the commander in chief is working with subordinate who are loyal to him to ensure his service to Tanzanians is realized.

Wakati tunajiuliza JPM, pia tuangalie CDM jinsi udugu na ushakaji na ukaskaz ulivyoshamiri kwenye fursa za ubunge, nafasi kwenye chama.... vip kama wangepewa nchi, wangeweza kweli ku-strike balance...kumbukeni wakati Kitilya akiwa Kamishna mkuu TRA namna ambavyo kabila lake kilijinafasi... what if mkoa hue ungetoa Prezdaa, najaribu kuwaza kama wangekuwa na uwiano kwenye kugawa keki ya taifa
Wewe huwezi kuona kwani kwa kawaida VIPOFU HUWA HAWAONI.
KUWENI WA KWELI,
 
Halafu kuna kitu kingine cha kutilia maanani. Kanda ya Ziwa ni kubwa na population yake ni kubwa. Wasukuma ni kabila kubwa lenye watu wengi.
Wasukuma ni wengi lakini hawana majivuno wala mashindano, sio vimbelembele linapokuja suala la kujichanganya maishani. Huo upole wao unachukuliwa kama ushamba au ujingak kitu ambacho sio haki hata kidogo.
 
Back
Top Bottom