Phillipo Bukililo
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 18,473
- 13,629
Kero kubwa zaidi ni ukweli kwamba mpaka kwenye kamati za ujenzi za makanisa ya madhehebu mbalimbali wanapeana tenda kiukabila. Wanao ule ujinga wa kumzunguka mtu kwa maana ya fitina ili wamchafue na aonekane ameshindwa kazi.Tuuseme tu ukweli kuna kabila Tz chini ya Mlima wetu mrefu kabisa Tz ambalo linaamini wao ndio wana haki ya kushika vyeo kwenye mashirika yote mazuri mazuri serikalini, kuteuliwa watu wengine kwao ni ukabila ila wakati wapo wao haukuwa ukabila. Hii dhana ya ukabila inashangiliwa na wao tu huwezi kukuta mtu wa mikoa mingine ana fikra hizi kali za ukabila
Mamlaka mbalimbali za kiserikali zilikuwa chini ya ushawishi wao, kaingia Ngosha pale Magogoni na hizo fitina zao zimegonga ukuta, hawaamini kuona kinachoendelea.