Holiday Greetings, Tuma salaam

Holiday Greetings, Tuma salaam

Hunishindi mimi. Njoo unichukue unifungie chumbani. Sitaki macho yangu yaangalie binadamu mwingine mwenye jinsia ya kike. Umezaliwa kwa ajili yangu.

Nimezaliwa kwaajili yako acha nikupe unachostahili,,
 
Ahsante mama wa watoto wangu. Uwepo wako ni pumzi yangu.... Bila wewe siwezi ishi. Nipe haki yangu ya mapenzi.

Sema nini unataka mpenzi maisha yenyewe mafupi haya.. nipo kwa ajili yako kipenzi cha mieee
 
Kuliko nile pishi lako bora nishiriki sahani moja na jibwa koko. Mpishi wangu mkuu ni Eshy m.s hata asipoweka chumvi na mafuta mi naridhika....

Ooouuuuh mahaba nipotezeeeeeh
 
Last edited by a moderator:
Samahani kwa interruption nimekuja kukwambia tunaongoza kwa bao moja...bye

Hahaha mtani.... nshatoka kwa mkoloni niko bar. nshamwona kijana Singano akifanya mambo yake.

Ahsante kwa kujali mtani wangu. Nlikwambia sala zako zishasikilizwa, remember?
 
Back
Top Bottom