sosoliso
Platinum Member
- May 6, 2009
- 8,543
- 9,478
He!!!!!
Ushindwe na ulegee....
Rudi nyuma shetani
Afazali........... dah!!!
Babu mahaba unajua ni kama mzigo wa upepo vle.. hauonekani kwa macho lakini wausikia unavyokupuliza..
Shetani hana nafasi hapa babu ni mahaba mazito tu
Mhhh Eshy s.m wajua sio lengo langu kuingilia mahaba ya mtu mie.. sema tu naona kama kuna lile somo la chemistry kati yetu.. Maana hata mie ninalipenda jinalo.. na mwenye jina pia..
Last edited by a moderator: