Holiday Greetings, Tuma salaam

Holiday Greetings, Tuma salaam

He!!!!!

Ushindwe na ulegee....

Rudi nyuma shetani

Afazali........... dah!!!

Babu mahaba unajua ni kama mzigo wa upepo vle.. hauonekani kwa macho lakini wausikia unavyokupuliza..

Shetani hana nafasi hapa babu ni mahaba mazito tu

Mhhh Eshy s.m wajua sio lengo langu kuingilia mahaba ya mtu mie.. sema tu naona kama kuna lile somo la chemistry kati yetu.. Maana hata mie ninalipenda jinalo.. na mwenye jina pia..
 
Last edited by a moderator:
Wala hakulazimishi kunipenda bibie Eshy m.s.. Anajaribu kukufunua macho uone vizuri.. Usije ukaja kuulaumu moyo wako...


Honey Faith endelea kumpa darasa huyu mlimbwende.. Labda ataelewa kwa babu wanaenda wajukuu tu..

Ngoja nimsaundushe mtoto mwenyewe kaishalainika huyu ngoja babu asinzie ujichukulie:screwy::screwy:
 
Last edited by a moderator:
Babu mahaba unajua ni kama mzigo wa upepo vle.. hauonekani kwa macho lakini wausikia unavyokupuliza..



Mhhh Eshy s.m wajua sio lengo langu kuingilia mahaba ya mtu mie.. sema tu naona kama kuna lile somo la chemistry kati yetu.. Maana hata mie ninalipenda jinalo.. na mwenye jina pia..

Asante kwa kupenda jina langu na kunipenda ila mi kwangu ipo tofauti kidogo
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom