wooow asante Madame B kwa kunikumbuka aisee nazan inshaalah nkifanikiwa kufika mwakan itabd tupige shoo moja ya kusameheana kwa yote ili hata mungu aeze pokea msamaha wetu kwa dhati hata kama ataandika dhambi lakn atajua tumesameheana toka moyoni ili uendelee kukaa lidaz kwa moyo safi
..
Asante my wifi nakupenda sana...na ili nikupende zaidi zawadi ya krismas inahusika
Ahhhhha nathubut kukutwa nabwana pepsi
....umeona eeee.
Asitugonganishe
Mwekee...mlango awe anaona dirisha
ahahahahahaha punguza presha bibi huyo wako akiwa kwako akitoka si wako tena
Kwahiyo nikiona manyonya....
Kwa hiyo Pacha wewe ni wifi dabo dabo?
halafu nasikia pia una uwifi mwingine tena na wifi yako Evelyn Salt.
dushe......
Umekosa.
Kama dushe haimwagi ile kitu, mimba itatoka wapi?
Usitake nikutajie hapa nimkosee adabu braza
Eeeeehhhhhh wifi jamaniiiii.
Unan'choma hivihivi!!!!!
Ntakosa kotekote wifi
Hebu mwambie pacha wako aweke mezani list ya mawifi zake...ili tujuane tuko wangapi mume wangu
...umeona eeee.
ila kwani kaka yako haijui?....
Hahahaa bas wifi nafuta kauli...nnavyokupenda wifi yangu
Maana mie n zimwi ntamla nyama
Mhhhhh.....huko Arusha, nalia mimi.
Halafu juzi pale Twi kulikuwa na fumanizi moja hatari...mbona ulikosa uhondo....yaani full aibu.
Tukijaaliwa kufikawaka mpya salama itabidi kweli tutafutane ili tukumbukane.