Umewapa sababu wakutafute wakufunge!
wewe umejitoa?
Linganisha mazingira hayo na ya Jumba Jeupe la DC.. well najua Wamarekani wao ni Taifa tajiri zaidi.. but then i thought about that BMW ambalo JK aliingia nalo Taifa juzi..
Swali langu hiyo picha ilipigwa lini? Maana tangu nimeanza kutumia google earth picha ni hiyo hiyo, kuna thread nilishawahi kuipost. Zile picha za Bush alivyokuwa Ikulu naona nyasi zilikuwa za kijani vizuri tu, mwenye nazo atupostie.
Unless of course, if you have to!!
Hizo picha zilipigwa saa ngapi. Mbona pamoja na utitiri wa magari ya ofisi hizo haionekani kama kuna gari nje?
Hizo picha zilipigwa saa ngapi. Mbona pamoja na utitiri wa magari ya ofisi hizo haionekani kama kuna gari nje?
Ukipiga picha kituo cha polisi nani atajuwa kama unataka kuiba EXIHIBIT au mishahara ya askari itakapoletwa.Lakini google ni kwa ajili ya wenye makombora ya mbali kuangamiza sehemu wanayoitaka-upo ndugu yangu?Magari yanaishia wizara ya elimu na hazina. Ukitaka kuyaona yakitembea, nenda Google Earth!
Halafu leo polisi wanawashika watu kwa kupiga picha polisi posti![
Ukipiga picha kituo cha polisi nani atajuwa kama unataka kuiba EXIHIBIT au mishahara ya askari itakapoletwa.Lakini google ni kwa ajili ya wenye makombora ya mbali kuangamiza sehemu wanayoitaka-upo ndugu yangu?