Kibunango, mazingira ya hilo eneo yanaoenekaje? Yawezekana kuwa tunahitaji wafadhili waje kutuonesha jinsi ya kutunza mazingira na kurangisha kijani jumba letu kuu? au kutokana na nchi yetu kuwa masikini?
Linganisha mazingira hayo na ya Jumba Jeupe la DC.. well najua Wamarekani wao ni Taifa tajiri zaidi.. but then i thought about that BMW ambalo JK aliingia nalo Taifa juzi..