Hoja za Utanganyika na Uzanzibari ni Hoja Muflis za Ujinga wa Ukosefu Elimu ya Uraia. Tuwatoe Ujinga Huu Kwa Elimu ya Uraia au Tuwaache na Ujinga Wao?

Hata mimi nakubaliana kabisa ni majadiliano ya kiungwana. Nisichokubaliana nacho ni ' exploitation ya sehemu ya jamii yetu' ili kutengeneza mazingira fulani. Ukisoma hiyo article kama si msomaji utakubaliana nayo 100%.
Ukiwa na weledi itakupa ghadhabu kwasababu kinachofanyika ni 'exploitation' tu

Ninafuatilia lakini pia siwezi kuendelea kuinajisi akili yangu kwa kuamini kuna 'Federation ya nchi mbili, Tanzania na Zanzibar''. Hapana aisee! Huu upotoshaji wa Tanzania ni nchi tofauti kabisa na Zanzibar ni wa ki-CCM.

Well kama ni utimbakwiri let it be, ninachosema hapa ni kwamba sikubaliani na upotoshaji.
Nafahamu watu wengi wanachanganyikiwa hivyo ni muhimu wale wanaoelewa wasikae kimya

Huu muungano unaosema kwamba ni 'adhimu na adimu' bila kujua maana yake unachanganya.
Tunawezaje kusema ni Raia wa nchi moja wakati Raia wa Tanganyika hawana haki Zanzibar.
no gentleman,
usiwanyime publics mawazo na maoni ya yako ya maana na muhimu juu ya jambo hili, ambayo inaashiria kabisa dhahiri shahiri unayo. usiwe mchoyo au mbinafsi sana kwenye vitu vya maana, vizito na muhimu hivi bana.....

ni kwasabb ya uelewa na ufahamu usio wa kutosha, juu ya jambo hili la muungano, ndio maana, tupo hapa tulipofikia hususani kwenye mitandao ya kijamii na vyombo vya habari.

jambo hili linaelezwa na kujadiliwa nusu nusu, tena kwa ukali usio na sababu, bila kueleza au kujadili mpaka mwisho, ili kusudi waTanzania waelewe nyeusi na nyeupe bayana.....

sasa hii shule na darasa la kupanic na kusema sitaki tena majadiliaona wakati nafasi na jukwaa ndio hili, sio jambo lenye afya kwa academicians na visionary professionals who are aiming at transforming a certain agenda into other form or established formation 🐒

ni uchoyo na ni ubinafsi wa kuwanyima waTz uelewa na ufahamu zaidi kwenye suala hili la muungano.

Natoa wito wa majadiliano kuendelea licha ya setbacks, dhihaka na vitimbi miongoni mwetu na kwa baadhi ya wachangiaji. Hivyo vitu hochee kujadiliana zaidi.

Tusuonge kwa pamoja kwa upendo, mpaka mwisho kwenye hili safari hii, huku amani miongoni mwetu ndio ikawe hitimisho la majadiliano na hoja yenyewe 🐒
 
jambo la muhimu na maana zaidi ni kufuatilia vipindi na makala vya masula ya uraia na sheria ambavyo muungwana comrade Pascal Mayalla anakusudia kuitoa for free to the paplics....

hii ingine,
ya ajira si jui ya nani ilikua lini, ni mihemko tu ya kawaida out of point. Tafadhali usikate tamaa, hapana kususa wala kuzira katika kutafuta ufahamu na uelewa zaidi juu ya mambo haya muhimu zaidi kwa maslahi mapana kwa usalama, umoja na mshikamano wetu kama Taifa 🐒
Twende pamoja bila mihemko.....
Unaongea ki layman namashaka sana na kula yako ya siku.. kuwa makini usije ukawa unaishi maisha ya kusindikiza watu kwenye mafanikio

Linapokuja suala la Uzanzibari na utanganyika ni suala pana ..

Kwanza unabidi ujue visababishi vya Zanzibar kuomba kuungana na Tanganyika kipindi kile ilikuwa ni sehemu ya kiusalama na hofu ya kutawaliwa na machafuko kwa sasa haipo tena hivyo hakuna sababu ya kuendelea kuishikilia huu muungano unaogemea upande mmoja..

Wakati mwingine naweza nikawa naelezea mtu ambaye hajui historia yeyote zaidi ya kujifanya anajua
Mtu yeyote haijalishi ni msomi au Lah lazima ataona kasoro zilizopo katika hichi kinachoitwa Muungano Uchwara
 
Unaongea ki layman namashaka sana na kula yako ya siku.. kuwa makini usije ukawa unaishi maisha ya kusindikiza watu kwenye mafanikio

Linapokuja suala la Uzanzibari na utanganyika ni suala pana ..

Kwanza unabidi ujue visababishi vya Zanzibar kuomba kuungana na Tanganyika kipindi kile ilikuwa ni sehemu ya kiusalama na hofu ya kutawaliwa na machafuko kwa sasa haipo tena hivyo hakuna sababu ya kuendelea kuishikilia huu muungano unaogemea upande mmoja..

Wakati mwingine naweza nikawa naelezea mtu ambaye hajui historia yeyote zaidi ya kujifanya anajua
Mtu yeyote haijalishi ni msomi au Lah lazima ataona kasoro zilizopo katika hichi kinachoitwa Muungano Uchwara
mihemko ya nini sasa angali inaonekana una hoja za maana kabisa, ingawa bado unaghadhabu, ubinafsi na kujisifu ambako hakuna maana yoyote kwa jamii, hivyo baki navyo kama vinakusaidia 🐒

usinielekeze mimi binafsi hiyo elimu muhimu sana unatoa, elekeza kwa ujumla wana JF fraternity wanaofatilia kwa makini mijadala huu wa maana sana, ili tuchote kwa pamoja elimu, uelewa na ufahamu wa jambo hili la muungano 🐒

achana na habari ya kuhitimisha kwamba iwe hivi au vile, yafaa kufahamu kinagaubaga mambo muhimu kabla ya hatua hiyo muhimu 🐒

nachelea kusema, ukielekeza mambo haya muhimu sana kwangu huchelewi kuanza kuyaporomosha zaidi kama ambavyo umeanza kupasha pasha moto kwenye ufunguzi wa haya maelezo yako dhidi yangu yangu kwenye aya ya kwanza na kwenye aya ya hitimisho.

si muhimu na wala hayana maana . Cha kuzingatia ni Muungano kiungwana 🐒
 
Funny
Bush lawyer Paskali Njaa eti anajua sheria ya katiba kuliko Warioba na Lissu....
 
Muungano ni kama ndoa, mwanamke kama kachoka moe talaka, usiwazikilize mashemeji ambao wanatumia mali zako, hao watakuongopea tu.

Kwenye huu muungano tanganyika ndio mwanaume, kama kweli wa uoande wa pili hawataki basi waachieni taifa lao, sio kusikiliza wanasiasa uchwara na wachache wenye kufaidika huku tanganyika.

Kwani faida ya huu muungano haswaa ni upi!?
 
Funny
Bush lawyer Paskali Njaa eti anajua sheria ya katiba kuliko Warioba na Lissu....
kwan warioba na Lisu wanajua sheria zipi au gani zaidi ya zilizopo tena wazi kabisa hapa Tanzania, ndugu muungwana ?🐒

ama kuna sheria za ziada tofauti na zilizopo kwenye katiba na zinazotumika kwenye sekta na mihimili ya nchi ambazo ni wew, Lisu na warioba pekee ndio mnazijua?🐒

by the way,
who is warioba or lisu? si ni waTanzania kama wengine tu....

what is so special to them, kupigwa risasa au kua waziri Mkuu? 🐒
 
kwan warioba na Lisu wanajua sheria zipi au gani zaidi ya zilizopo tena wazi kabisa hapa Tanzania, ndugu muungwana ?🐒

ama kuna sheria za ziada tofauti na zilizopo kwenye katiba na zinazotumika kwenye sekta na mihimili ya nchi ambazo ni wew, Lisu na warioba pekee ndio mnazijua?🐒

by the way,
who is warioba or lisu? si ni waTanzania kama wengine tu....

what is so special to them, kyupigwa risasa au kua waziri Mkuu? 🐒
Wewe kijana kichwani hauna kitu, ungejua usingekuwa unaandika andika hizi insha zako.. haujui chochote na wewe unaandika uonekane unacha kuandika kumbe kichwani hauna kitu sidhani kama unachoandika unakisoma au wewe ni Mzanzibari maana unatabia za kizanzibari uwezo mdogo kichwani naignore posts zako unaandika utumbo tu
 
Hoja za uzanzibari zipo miaka yote, na zinachekewa, zinaonekana ni ushujaa, Ila zikiguswa hoja za utanganyika ndio watu matumbo ya kuhara yanawabana, ni heshima kuitwa mzanzibari Ila ni ujinga na ubaguzi kuitwa mtanganyika!!!!
 
Wanabodi

Kama kawaida yangu kila nipatapo fursa, huja na kwa Maslahi ya Taifa, kila Jumatano kwenye gazeti la Mwananchi na Jumapili kwenye gazeti la Nipashe na kwenye kipindi cha KMT on Channel Ten TV, kila siku za Jumapili saa 3:00 usiku na marudio Jumatano saa 9:30 alasiri.

Hoja ya leo ni hoja za Utanganyika na Uzanzibari ambazo ni hoja muflis zinazosababishwa watu wanaitwa vitimbakwiri kujivunia uraia ambao haupo kutokana na ujinga tuu wa ukosefu wa elimu ya uraia kuhusu uraia wa Tanzania. Kwenye uraia, hakuna Mtanganyika wala Mzanzibari, tuna uraia mmoja tuu, Mtanzania. Swali ni jee tuwatoe ujinga hawa vitimbakwiri muflis wanaotaka kutubagua kwa Utanganyika na Uzanzibari kwa kuwaelimisha elimu ya uraia, au tuwaache tuu na ujinga wao kujisikia sifa kujinasibisha na kujivunia Utanganyika na Uzanzibari?.

Hili ni Nipashe la Leo.
View attachment 2994081

Ukosefu wa Elimu ya Uraia Kuhusu Katiba, Sheria, Haki na Wajibu, ndio umesababisha, huu ubaguzi wa Utanganyika, na Uzanzibari, watu wakielimishwa kuhusu uraia, hawa vitimbakwiri muflis wanaoleta ujinga wa ubaguzi wa kunyoosheana vidole vya Utanganyika na Uzanzibari, ujinga huu utawatoka, wataerevuka na tutakuwa na Utanzania pekee!.

Hivi karibuni, kumeibuka hoja za kibaguzi za baadhi ya wanasiasa, kutoa kauli za kibaguzi za kuwanyooshea watu vidole na kuwaita “Wao Wazanzibari”, “Sisi Watanganyika”. Miongozi mwa watu wanaotoa kauli hizo ni baadhi ya viongozi wa vyama vya upinzani, waliofilisika kisiasa, na baadhi ya wanaolaani kauli hizo, ni baadhi ya viongozi wa chama tawala, ambapo nimemsikia mmoja wa viongozi hao, akilaani vikali kauli hizo bungeni kwa maneno makali kabisa!, huko pia ni kufilisika kisiasa.

NB. Aliyesema wanasiasa wanaojinasibisha na Utanganyika na Uzanzibari, dini zao, kanda zao, au kabila zao, ni watu muflis, waliofilisika kisiasa, sio mimi ni Baba wa Taifa, Mwalimu Nyerere, na akaiandikia kitabu kinaitwa “Nyufa”. Mwalimu alisema dhambi ya ubaguzi ni mbaya sana, ni kama kula nyama ya mtu, ukiishakula huwezi kuacha!.

Uraia ni hoja ya kikatiba na kisheria. Kabla ya Muungano, tulikuwa na nchi mbili za Tanganyika na Zanzibar, hivyo tulikuwa na uraia wa Tanganyika, na uraia wa Zanzibar. Baada ya muungano, tukaungana kuwa nchi moja ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, na kuwa na uraia mmoja tuu, uraia wa Tanzania.

Baada ya Muungano, majina ya nchi hizi zote mbili, nchi ya Tanganyika, na nchi ya Zanzibar, yalibadilika na kuwa Tanzania Bara na Tanzania Visiwani, hivyo jina la Tanganyika likafutwa, ila jina la Zanzibar, liliendelea kuwepo, kutokana na uadimu na uadhimu wa huu muungano wetu.

Uadimu wa Muungano
Miungano ya nchi zote duniani ni miungano ya aina mbili kuu,

1. Muungano wa Union, ambapo nchi mbili zinaungana na kuunda nchi moja. Zile nchi zote mbili zilizoungana , zote zinakufa na kuunda nchi moja mpya. Hivyo ndivyo ulivyo muungano wetu kimataifa, ni muungano wa Unioni, ile nchi ya Tanganyika imekufa, ile nchi ya Zanzibar imekufa, imezaliwa nchi moja mpya ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, yenye urais mmoja tuu, uraia wa Tanzania. Hakuna tena uraia wa Tanganyika, wala uraia wa Zanzibar, kuna uraia mmoja wa Tanzania. Tanganyika haipo nafasi yake imechukuliwa na Tanzania Bara, na Zanzibar japo ipo, ila sio nchi ni sehemu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, yenye utawala wake wa ndani, lakini hakuna uraia wa Zanzibar, uraia ni mmoja tuu wa Tanzania.

2. Muungano wa Federation, ni nchi mbili au zaidi, zinaungano kuwa nchi moja, lakini zile nchi zote mbili zinaendelea kuwa utawala wake wa ndani, na serikali zao, chini ya utawala mkuu wan chi ya federal state, kama Marekani. Vivyo hivyo muungano wetu kwa ndani ya muungano ni muungano wa federation yenye nchi mbili, Tanzania na Zanzibar, yenye marais wawili, Rais wa JMT “mwenye R kubwa, na rais wa Zanzibar mwenye r ndogo, zenye serikali mbili, serikali ya JMT na serikali ya SMZ, mabunge mawili, Bunge la JMT na BLW, na zenye mahakama mbili, Mahakama ya JMT na Mahakama ya Zanzibar, ila kwenye uraia, bado ni uraia mmoja tuu wa JMT, ila kwa Zanziar, wana ukaazi, ule ukaazi sio uraia ni utambulisho tuu wa wakaazi wa Zanzibar lakini wote ni Watanzania.

Hivyo muungano wa Tanzania ni muungano adimu pekee duniani ambao kwa upande mmoja ni muungano wa union na upande wa pili ni muungano wa federation, hakuna muungano wa aina hii popote duniani.

Uadhimu wa Muungano.
Muungano wetu licha ya kuwa ni muungano adimu, pia ni muungano adhimu, wenye dhima ya kuungana milele!. Miungano yote duniani unaundwa kwa mikataba ya kisheria ya muungano. Mikataba hiyo inakuwa na kipengele cha jinsi ya kuivunja miungano hiyo. Kwenye zile Articles of Union za Muungano wetu, hakuna kipengele cha jinsi ya kuuvunja, muungano, hivyo zile Hati za Muungano sio mkataba wa muungano, ni makubaliano ya muungano, (not a contract, but an agreement) yenye dhima ya muungano wa milele, na ndio maana tunasema “muungano tutaulinda kwa gharama yoyote”.

Tangu tumeungana, na mimi tangu nimezaliwa na kupata akili, sikumbuki hata mara moja, kusikia vipindi vya elimu ya uraia kuhuhusu huu muungano wetu adimu na adhimu, hali inayopelekea Baadhi ya Watanzania kuanza kujinasibisha na Utanganyika wao, na Uzanzibari wao.

Kwa vile Tanganyika ilifutwa na jina la Tanganyika kufutwa, utanganyika nao ukafutika, Watanganyika tunajisabisha kwa Utanzania wetu, lakini kwa vile kwa vile jina la Zanzibar, halikufutwa, na kuna Uzanzibari ukaazi, hivyo baadhi ya Wanzanzibari, wanajinasibisha kwa Uzanzibari wao kama uraia wa Zanzibar, badala ya kujinasibisha na Utanzania wao, kungekuwa na vipindi vya elimu ya uraia kuhusu katiba, sheria, haki na wajibu, kusingekuwepo, vitimbakwiri wowote, wanaojinasibisha kwa Utanganyika wao, au Uzanzibari wao kwasababu, uraia wa JMT ni uraia mmoja tuu, hakuna uraia wa Tanganyika, wala hakuna urais wa Zanzibar, kuna uraia mmoja tuu, uraia wa JMT.

Wiki ijayo, nitaendelea na kuwaletea hizi chokochoko za kuuchokoa muungano na kuanza kunyoosheasha vidole vya ubaguzi wa “Utanganyika na Uzanzibari” zilianzia wapi, dawa yake ni nini na tiba ya kudumu ya kuitibu sumu hii na kuiangamiza kabisa.

View: https://youtu.be/ZJIKhnZCf04?si=fPhb1_0doZmgD7T4
Wakati huo huo, naendelea na darasa langu la elimu ya uraia kuhusu katiba, sheria na haki on Channel Ten kila Jumapili saa 3:00 usiku.
Karibuni.

Paskali


Leo nimejitahidi kusoma makala yako hadi mwisho na kwa msingi huu, nina neno la kusema..

Ndugu Pascal Mayalla mimi sijaona mtu ambaye ana shida na muungano huu..

Tatizo la sisi watu unaotuita "vitimbakwiri" ni muundo wa muungano. Ni hilo tu

Na huwezi kuanza kuhoji na kukosoa muundo wa muungano huu pasipo kuzitaja nchi mbili zinazounda muunga huu i .e Tanganyika na Zanzibar..

Aidha, huwezi kuhoji na kukosoa muundo wa muungano huu bila kuwataja Watanganyika na Wazanzibar ambao ni wakazi wa nchi zinazounda muungano huu..

Tunachohitaji ni kurekebisha muundo wa muungano ili kuondoa hizi kelele..

Kama na hili nalo unaliona ni tatizo na ndani ya matatizo haya mko tayari kuulinda muungano huu kwa gharama zozote, basi upande wa pili nasi tunasema, kwa gharama yoyote tutahakikisha muungano huu unarekebishwa au unapotolea mbali huko..
 
Mkuu nataka kukupabacho ni toafuti elimu hapa , maana mnatumia elimu kweny uhalisia kitu ambacho ni tofauti
 
Wewe kijana kichwani hauna kitu, ungejua usingekuwa unaandika andika hizi insha zako.. haujui chochote na wewe unaandika uonekane unacha kuandika kumbe kichwani hauna kitu sidhani kama unachoandika unakisoma au wewe ni Mzanzibari maana unatabia za kizanzibari uwezo mdogo kichwani naignore posts zako unaandika utumbo tu
ndugu muungwana, mwerevu,
mbona unaleta mihemko na panic kama zote yaani, nini shida?, malalamiko, gubu na ubinafsi wako si muhimu sana , tafuta namna binafsi kutatua hiyo shida yako 🐒

imotional stability control yako ni zero sio,

wew ukiignore au ukiblock, achilia mbali mimi hata mwingine yeyote, inanisaidia nini mimi? hiyo ni useless kabisa kwangu, do it hardly ikiwa inakusaidia 🐒

lakini sio kubwekabweka hapa na huna content, mie nababaika na hiyo kitu unadhani ambayo ni haki na uhuru wako 🐒
 
Wanabodi

Kama kawaida yangu kila nipatapo fursa, huja na kwa Maslahi ya Taifa, kila Jumatano kwenye gazeti la Mwananchi na Jumapili kwenye gazeti la Nipashe na kwenye kipindi cha KMT on Channel Ten TV, kila siku za Jumapili saa 3:00 usiku na marudio Jumatano saa 9:30 alasiri.

Hoja ya leo ni hoja za Utanganyika na Uzanzibari ambazo ni hoja muflis zinazosababishwa watu wanaitwa vitimbakwiri kujivunia uraia ambao haupo kutokana na ujinga tuu wa ukosefu wa elimu ya uraia kuhusu uraia wa Tanzania. Kwenye uraia, hakuna Mtanganyika wala Mzanzibari, tuna uraia mmoja tuu, Mtanzania. Swali ni jee tuwatoe ujinga hawa vitimbakwiri muflis wanaotaka kutubagua kwa Utanganyika na Uzanzibari kwa kuwaelimisha elimu ya uraia, au tuwaache tuu na ujinga wao kujisikia sifa kujinasibisha na kujivunia Utanganyika na Uzanzibari?.

Hili ni Nipashe la Leo.
View attachment 2994081

Ukosefu wa Elimu ya Uraia Kuhusu Katiba, Sheria, Haki na Wajibu, ndio umesababisha, huu ubaguzi wa Utanganyika, na Uzanzibari, watu wakielimishwa kuhusu uraia, hawa vitimbakwiri muflis wanaoleta ujinga wa ubaguzi wa kunyoosheana vidole vya Utanganyika na Uzanzibari, ujinga huu utawatoka, wataerevuka na tutakuwa na Utanzania pekee!.

Hivi karibuni, kumeibuka hoja za kibaguzi za baadhi ya wanasiasa, kutoa kauli za kibaguzi za kuwanyooshea watu vidole na kuwaita “Wao Wazanzibari”, “Sisi Watanganyika”. Miongozi mwa watu wanaotoa kauli hizo ni baadhi ya viongozi wa vyama vya upinzani, waliofilisika kisiasa, na baadhi ya wanaolaani kauli hizo, ni baadhi ya viongozi wa chama tawala, ambapo nimemsikia mmoja wa viongozi hao, akilaani vikali kauli hizo bungeni kwa maneno makali kabisa!, huko pia ni kufilisika kisiasa.

NB. Aliyesema wanasiasa wanaojinasibisha na Utanganyika na Uzanzibari, dini zao, kanda zao, au kabila zao, ni watu muflis, waliofilisika kisiasa, sio mimi ni Baba wa Taifa, Mwalimu Nyerere, na akaiandikia kitabu kinaitwa “Nyufa”. Mwalimu alisema dhambi ya ubaguzi ni mbaya sana, ni kama kula nyama ya mtu, ukiishakula huwezi kuacha!.

Uraia ni hoja ya kikatiba na kisheria. Kabla ya Muungano, tulikuwa na nchi mbili za Tanganyika na Zanzibar, hivyo tulikuwa na uraia wa Tanganyika, na uraia wa Zanzibar. Baada ya muungano, tukaungana kuwa nchi moja ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, na kuwa na uraia mmoja tuu, uraia wa Tanzania.

Baada ya Muungano, majina ya nchi hizi zote mbili, nchi ya Tanganyika, na nchi ya Zanzibar, yalibadilika na kuwa Tanzania Bara na Tanzania Visiwani, hivyo jina la Tanganyika likafutwa, ila jina la Zanzibar, liliendelea kuwepo, kutokana na uadimu na uadhimu wa huu muungano wetu.

Uadimu wa Muungano
Miungano ya nchi zote duniani ni miungano ya aina mbili kuu,

1. Muungano wa Union, ambapo nchi mbili zinaungana na kuunda nchi moja. Zile nchi zote mbili zilizoungana , zote zinakufa na kuunda nchi moja mpya. Hivyo ndivyo ulivyo muungano wetu kimataifa, ni muungano wa Unioni, ile nchi ya Tanganyika imekufa, ile nchi ya Zanzibar imekufa, imezaliwa nchi moja mpya ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, yenye urais mmoja tuu, uraia wa Tanzania. Hakuna tena uraia wa Tanganyika, wala uraia wa Zanzibar, kuna uraia mmoja wa Tanzania. Tanganyika haipo nafasi yake imechukuliwa na Tanzania Bara, na Zanzibar japo ipo, ila sio nchi ni sehemu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, yenye utawala wake wa ndani, lakini hakuna uraia wa Zanzibar, uraia ni mmoja tuu wa Tanzania.

2. Muungano wa Federation, ni nchi mbili au zaidi, zinaungano kuwa nchi moja, lakini zile nchi zote mbili zinaendelea kuwa utawala wake wa ndani, na serikali zao, chini ya utawala mkuu wan chi ya federal state, kama Marekani. Vivyo hivyo muungano wetu kwa ndani ya muungano ni muungano wa federation yenye nchi mbili, Tanzania na Zanzibar, yenye marais wawili, Rais wa JMT “mwenye R kubwa, na rais wa Zanzibar mwenye r ndogo, zenye serikali mbili, serikali ya JMT na serikali ya SMZ, mabunge mawili, Bunge la JMT na BLW, na zenye mahakama mbili, Mahakama ya JMT na Mahakama ya Zanzibar, ila kwenye uraia, bado ni uraia mmoja tuu wa JMT, ila kwa Zanziar, wana ukaazi, ule ukaazi sio uraia ni utambulisho tuu wa wakaazi wa Zanzibar lakini wote ni Watanzania.

Hivyo muungano wa Tanzania ni muungano adimu pekee duniani ambao kwa upande mmoja ni muungano wa union na upande wa pili ni muungano wa federation, hakuna muungano wa aina hii popote duniani.

Uadhimu wa Muungano.
Muungano wetu licha ya kuwa ni muungano adimu, pia ni muungano adhimu, wenye dhima ya kuungana milele!. Miungano yote duniani unaundwa kwa mikataba ya kisheria ya muungano. Mikataba hiyo inakuwa na kipengele cha jinsi ya kuivunja miungano hiyo. Kwenye zile Articles of Union za Muungano wetu, hakuna kipengele cha jinsi ya kuuvunja, muungano, hivyo zile Hati za Muungano sio mkataba wa muungano, ni makubaliano ya muungano, (not a contract, but an agreement) yenye dhima ya muungano wa milele, na ndio maana tunasema “muungano tutaulinda kwa gharama yoyote”.

Tangu tumeungana, na mimi tangu nimezaliwa na kupata akili, sikumbuki hata mara moja, kusikia vipindi vya elimu ya uraia kuhuhusu huu muungano wetu adimu na adhimu, hali inayopelekea Baadhi ya Watanzania kuanza kujinasibisha na Utanganyika wao, na Uzanzibari wao.

Kwa vile Tanganyika ilifutwa na jina la Tanganyika kufutwa, utanganyika nao ukafutika, Watanganyika tunajisabisha kwa Utanzania wetu, lakini kwa vile kwa vile jina la Zanzibar, halikufutwa, na kuna Uzanzibari ukaazi, hivyo baadhi ya Wanzanzibari, wanajinasibisha kwa Uzanzibari wao kama uraia wa Zanzibar, badala ya kujinasibisha na Utanzania wao, kungekuwa na vipindi vya elimu ya uraia kuhusu katiba, sheria, haki na wajibu, kusingekuwepo, vitimbakwiri wowote, wanaojinasibisha kwa Utanganyika wao, au Uzanzibari wao kwasababu, uraia wa JMT ni uraia mmoja tuu, hakuna uraia wa Tanganyika, wala hakuna urais wa Zanzibar, kuna uraia mmoja tuu, uraia wa JMT.

Wiki ijayo, nitaendelea na kuwaletea hizi chokochoko za kuuchokoa muungano na kuanza kunyoosheasha vidole vya ubaguzi wa “Utanganyika na Uzanzibari” zilianzia wapi, dawa yake ni nini na tiba ya kudumu ya kuitibu sumu hii na kuiangamiza kabisa.

View: https://youtu.be/ZJIKhnZCf04?si=fPhb1_0doZmgD7T4
Wakati huo huo, naendelea na darasa langu la elimu ya uraia kuhusu katiba, sheria na haki on Channel Ten kila Jumapili saa 3:00 usiku.
Karibuni.

Paskali

Ndugu Pascal kuna kitu hujaelewa kuhusu malalamiko ya wananchi wa pande zote mbili. Kero za muungano ndiyo shida hivyo kuwafanya wahoji muungano wenyewe.

Zanzibar inaonekana ilihali Tanganyika imepotea.
Wanabodi

Kama kawaida yangu kila nipatapo fursa, huja na kwa Maslahi ya Taifa, kila Jumatano kwenye gazeti la Mwananchi na Jumapili kwenye gazeti la Nipashe na kwenye kipindi cha KMT on Channel Ten TV, kila siku za Jumapili saa 3:00 usiku na marudio Jumatano saa 9:30 alasiri.

Hoja ya leo ni hoja za Utanganyika na Uzanzibari ambazo ni hoja muflis zinazosababishwa watu wanaitwa vitimbakwiri kujivunia uraia ambao haupo kutokana na ujinga tuu wa ukosefu wa elimu ya uraia kuhusu uraia wa Tanzania. Kwenye uraia, hakuna Mtanganyika wala Mzanzibari, tuna uraia mmoja tuu, Mtanzania. Swali ni jee tuwatoe ujinga hawa vitimbakwiri muflis wanaotaka kutubagua kwa Utanganyika na Uzanzibari kwa kuwaelimisha elimu ya uraia, au tuwaache tuu na ujinga wao kujisikia sifa kujinasibisha na kujivunia Utanganyika na Uzanzibari?.

Hili ni Nipashe la Leo.
View attachment 2994081

Ukosefu wa Elimu ya Uraia Kuhusu Katiba, Sheria, Haki na Wajibu, ndio umesababisha, huu ubaguzi wa Utanganyika, na Uzanzibari, watu wakielimishwa kuhusu uraia, hawa vitimbakwiri muflis wanaoleta ujinga wa ubaguzi wa kunyoosheana vidole vya Utanganyika na Uzanzibari, ujinga huu utawatoka, wataerevuka na tutakuwa na Utanzania pekee!.

Hivi karibuni, kumeibuka hoja za kibaguzi za baadhi ya wanasiasa, kutoa kauli za kibaguzi za kuwanyooshea watu vidole na kuwaita “Wao Wazanzibari”, “Sisi Watanganyika”. Miongozi mwa watu wanaotoa kauli hizo ni baadhi ya viongozi wa vyama vya upinzani, waliofilisika kisiasa, na baadhi ya wanaolaani kauli hizo, ni baadhi ya viongozi wa chama tawala, ambapo nimemsikia mmoja wa viongozi hao, akilaani vikali kauli hizo bungeni kwa maneno makali kabisa!, huko pia ni kufilisika kisiasa.

NB. Aliyesema wanasiasa wanaojinasibisha na Utanganyika na Uzanzibari, dini zao, kanda zao, au kabila zao, ni watu muflis, waliofilisika kisiasa, sio mimi ni Baba wa Taifa, Mwalimu Nyerere, na akaiandikia kitabu kinaitwa “Nyufa”. Mwalimu alisema dhambi ya ubaguzi ni mbaya sana, ni kama kula nyama ya mtu, ukiishakula huwezi kuacha!.

Uraia ni hoja ya kikatiba na kisheria. Kabla ya Muungano, tulikuwa na nchi mbili za Tanganyika na Zanzibar, hivyo tulikuwa na uraia wa Tanganyika, na uraia wa Zanzibar. Baada ya muungano, tukaungana kuwa nchi moja ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, na kuwa na uraia mmoja tuu, uraia wa Tanzania.

Baada ya Muungano, majina ya nchi hizi zote mbili, nchi ya Tanganyika, na nchi ya Zanzibar, yalibadilika na kuwa Tanzania Bara na Tanzania Visiwani, hivyo jina la Tanganyika likafutwa, ila jina la Zanzibar, liliendelea kuwepo, kutokana na uadimu na uadhimu wa huu muungano wetu.

Uadimu wa Muungano
Miungano ya nchi zote duniani ni miungano ya aina mbili kuu,

1. Muungano wa Union, ambapo nchi mbili zinaungana na kuunda nchi moja. Zile nchi zote mbili zilizoungana , zote zinakufa na kuunda nchi moja mpya. Hivyo ndivyo ulivyo muungano wetu kimataifa, ni muungano wa Unioni, ile nchi ya Tanganyika imekufa, ile nchi ya Zanzibar imekufa, imezaliwa nchi moja mpya ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, yenye urais mmoja tuu, uraia wa Tanzania. Hakuna tena uraia wa Tanganyika, wala uraia wa Zanzibar, kuna uraia mmoja wa Tanzania. Tanganyika haipo nafasi yake imechukuliwa na Tanzania Bara, na Zanzibar japo ipo, ila sio nchi ni sehemu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, yenye utawala wake wa ndani, lakini hakuna uraia wa Zanzibar, uraia ni mmoja tuu wa Tanzania.

2. Muungano wa Federation, ni nchi mbili au zaidi, zinaungano kuwa nchi moja, lakini zile nchi zote mbili zinaendelea kuwa utawala wake wa ndani, na serikali zao, chini ya utawala mkuu wan chi ya federal state, kama Marekani. Vivyo hivyo muungano wetu kwa ndani ya muungano ni muungano wa federation yenye nchi mbili, Tanzania na Zanzibar, yenye marais wawili, Rais wa JMT “mwenye R kubwa, na rais wa Zanzibar mwenye r ndogo, zenye serikali mbili, serikali ya JMT na serikali ya SMZ, mabunge mawili, Bunge la JMT na BLW, na zenye mahakama mbili, Mahakama ya JMT na Mahakama ya Zanzibar, ila kwenye uraia, bado ni uraia mmoja tuu wa JMT, ila kwa Zanziar, wana ukaazi, ule ukaazi sio uraia ni utambulisho tuu wa wakaazi wa Zanzibar lakini wote ni Watanzania.

Hivyo muungano wa Tanzania ni muungano adimu pekee duniani ambao kwa upande mmoja ni muungano wa union na upande wa pili ni muungano wa federation, hakuna muungano wa aina hii popote duniani.

Uadhimu wa Muungano.
Muungano wetu licha ya kuwa ni muungano adimu, pia ni muungano adhimu, wenye dhima ya kuungana milele!. Miungano yote duniani unaundwa kwa mikataba ya kisheria ya muungano. Mikataba hiyo inakuwa na kipengele cha jinsi ya kuivunja miungano hiyo. Kwenye zile Articles of Union za Muungano wetu, hakuna kipengele cha jinsi ya kuuvunja, muungano, hivyo zile Hati za Muungano sio mkataba wa muungano, ni makubaliano ya muungano, (not a contract, but an agreement) yenye dhima ya muungano wa milele, na ndio maana tunasema “muungano tutaulinda kwa gharama yoyote”.

Tangu tumeungana, na mimi tangu nimezaliwa na kupata akili, sikumbuki hata mara moja, kusikia vipindi vya elimu ya uraia kuhuhusu huu muungano wetu adimu na adhimu, hali inayopelekea Baadhi ya Watanzania kuanza kujinasibisha na Utanganyika wao, na Uzanzibari wao.

Kwa vile Tanganyika ilifutwa na jina la Tanganyika kufutwa, utanganyika nao ukafutika, Watanganyika tunajisabisha kwa Utanzania wetu, lakini kwa vile kwa vile jina la Zanzibar, halikufutwa, na kuna Uzanzibari ukaazi, hivyo baadhi ya Wanzanzibari, wanajinasibisha kwa Uzanzibari wao kama uraia wa Zanzibar, badala ya kujinasibisha na Utanzania wao, kungekuwa na vipindi vya elimu ya uraia kuhusu katiba, sheria, haki na wajibu, kusingekuwepo, vitimbakwiri wowote, wanaojinasibisha kwa Utanganyika wao, au Uzanzibari wao kwasababu, uraia wa JMT ni uraia mmoja tuu, hakuna uraia wa Tanganyika, wala hakuna urais wa Zanzibar, kuna uraia mmoja tuu, uraia wa JMT.

Wiki ijayo, nitaendelea na kuwaletea hizi chokochoko za kuuchokoa muungano na kuanza kunyoosheasha vidole vya ubaguzi wa “Utanganyika na Uzanzibari” zilianzia wapi, dawa yake ni nini na tiba ya kudumu ya kuitibu sumu hii na kuiangamiza kabisa.

View: https://youtu.be/ZJIKhnZCf04?si=fPhb1_0doZmgD7T4
Wakati huo huo, naendelea na darasa langu la elimu ya uraia kuhusu katiba, sheria na haki on Channel Ten kila Jumapili saa 3:00 usiku.
Karibuni.

Paskali


Zanzibar wana serikali yao na mambo mengine yote wanayo. Hata ikitokea leo Muungano unavunjwa Zanzibar wao wako kwenye safe side.

Ikitokea watu wakadai kuvunjwa au kurekebisha Muungano, Zanzibar wao maamuzi yatakuwa approved na Rais wao. Tanganyika nyie wenzetu ndiyo kwanza mtaanza kujikusanya mjue itakuaje.

Siku hizi sikuelewi elewi hivi pascal
 
Hakika siku hazigandi, Pascal kwisha habari yake! Mzee tunafahamu sabasaba iko karibu, ni lazima ujikombe ili upate matangazo ya nssf, CRDB na mengine.

Hongera sana kwa kulenga
Kumbe mnamjua? Mimi ndiyo namfahamu kwa hizi makala za sasa. Huyu jamaa anapotosha kwa maandishi yanayoelekea kuwa kweli kwa kujisahaulisha kuwa muungano una kero zake ambazo lazima zitatuliwe ili wananchi waufurahie
 
Mleta Uzi unajitoa ufahamu sana , ni kwamba una njaa au , ukusikia yule aliyesema tuwe tunaenda na passport Zanzibar,
Mleta uzi anatafuta cheo kwa nguvu njaa inamsumbua.
Ukweli unajulikana kwamba serikali ya tanganyika iliuliwa kuhuni sana na Nyerere baadae kabisa baada ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.
Kama Zanzibar wanaserikali yao, wana katiba yao, wanavitambulisho vyao kama wanzanzibar.
Maana yake wanautambulisho wao kama taifa la zanzibar.
Nilitembelea nchi flani nikakuta kuna chama cha wanzanzibar wanaoishi katika nchi hiyo.
Serikali ya Tanganyika inabidi irudishwe ili kusawazisha mambo
 
Jamaa ana njaa kali sana halafu ni Babu kabisa
Taifa letu limekuwa nawatu wajinga sana, yani mtu mzima kabisa na akili zake anaamua kujitoa ufahamu kwasababu ya vipande vya halua na tende🚮 takataka kabisa. Hoja ziko wazi kabisa halafu mtu anakuja na vioja.
 
Back
Top Bottom