MNYISANZU
JF-Expert Member
- Oct 21, 2011
- 7,048
- 1,102
* Waislam wataka wimbo wa Taifa ubadilishwe kwani ni wa Kikristo na pia siku za mapumziko zibadilishwe ! * Wakristo nao hawataki mahakama ya kadhi, OIC na uvaaji wa hijab mashuleni. Source: Habari Leo [ Lead story ]. Je, kwa hali hii, ni upi mustakabali wa taifa letu?