mkomatembo
JF-Expert Member
- Dec 17, 2011
- 1,477
- 816
Hakuna jipya
huenda bunge la dharula likaitishwa leo
"@zittokabwe: Taarifa ya Maandishi ya kutaka kuleta hoja ya kutokuwa na imani na Waziri Mkuu (ibara 53A ya Katiba) imewasilishwa rasmi kwa Spika."
"@zittokabwe: Mchana Leo HOJA ya kutaka Azimio la kura ya kutokuwa na imani na Waziri Mkuu itakabidhiwa kwa Spika (kanuni 133(2)(3)). 'Taarifa vs Hoja'"
huenda bunge la dharula likaitishwa leo
Aliondoka Lowasa, Karamagi, Msabaha. Tukadhani nafuu itapatikana. Hakuna lolote. Mambo ni mabaya zaidi! Tunataka Pinda aondoke au mawziri wengine wanane. Kuna nafuu yoyote itapatikana? Hivi kweli hatujui tatizo hasa ni nani au ni nini? Tuendelee kuzugana tu na kujizolea umaarufu usio na tija!
Zitto,ni sawa na magamba 100,tena siyo km Lusinde,.labda wenye uwezo km yule **** wa bumbuli sijui anaitwa nani?kama kuna anayekumbuka jina anikumbushe.
Misemo ya kizamani kwa watu wa Kisasa! Wapenda Mageuzi kamwe hawatakiwi kuwa nyuma ya mtu yeyote bali wawe naye sambamba ktk kuleta Mageuzi. Ukiwa nyuma ya mtu maana yake mtu huyo akijikwaa au maadui wakimmaliza na nyie wote mmekwisha, sawa sawa kabisa na msafara wa nyumbu ambapo yule aliyetangulia akianguka nyumbu wote wanafuatia huangukia pale pale alipoangukia aliyekuwa amewatangulia! Misemo kama hii inahitaji kurekebishwa iendane na wakati na hali halisi ya sasa.Zitto safi sana sisi wananchi wa kawaida wapenda mageuzi tuna nyuma yenu