HOJA ya Zitto yawasilishwa kwa spika

HOJA ya Zitto yawasilishwa kwa spika

Liverpool2005

Member
Joined
Jul 20, 2011
Posts
43
Reaction score
39
"@zittokabwe: Taarifa ya Maandishi ya kutaka kuleta hoja ya kutokuwa na imani na Waziri Mkuu (ibara 53A ya Katiba) imewasilishwa rasmi kwa Spika."

"@zittokabwe: Mchana Leo HOJA ya kutaka Azimio la kura ya kutokuwa na imani na Waziri Mkuu itakabidhiwa kwa Spika (kanuni 133(2)(3)). 'Taarifa vs Hoja'"
 
Shukrani sana mh zitto, ikiwezekana na kamaa kanuni zinaruhuu liitihwe bunge la dharura baada ya hizo siku 14 ili liweze kujadili hoja hii kwa maslahi ya nchi yetu, ni gharama sana kuendelea na mzigo huu.
 
Wera wera zitto.But kuna mbunge wangu mpya na anasapoti mafisadi hajasaini naye ni Augostino manyanda masele jimbo la mbogwe wilaya ya mbogwe mkoani geita mpya.Na nilazima akalie kuti kavu 2015 harudi mjengoni badala yake naingia mim via pipoz pawa.
 
"@zittokabwe: Taarifa ya Maandishi
ya kutaka kuleta hoja ya
kutokuwa na imani na Waziri Mkuu (ibara 53A ya Katiba) imewasilishwa rasmi kwa Spika."

"@zittokabwe: Mchana Leo HOJA ya kutaka Azimio la kura ya kutokuwa na imani na Waziri Mkuu itakabidhiwa kwa Spika (kanuni 133(2)(3)). 'Taarifa vs Hoja'"

.
Saafi sana. Zitto usiondoe mguu wako kwenye accelerator mpaka kieleweke.
.
 
Haya ndiyo aliyosema tena
"@zittokabwe: Inaanza taarifa ya maandishi kisha Hoja. Hoja itakabidhiwa mchana leo"
 
ANAENDELEA HAPA
"@zittokabwe: Kanuni 27(4) Endapo manufaa ya Taifa yatahitaji....Spika anaweza, baada ya kushauriana na Kamati ya Uongozi....kuliita Bunge 'mapema' zaidi"

Hapa kazi kwa spika
 
Kuhusu swala la waziri Nundu na naibu wake kupishana,haya ni maoni ya KAMANDA

"@zittokabwe: Komba aliwahi kuimba 'wenyewe kwa wenyewe wanapigana, wenyewe kwa wenyewe wanatutana. Sasa mambooooo' #OperesheniUwajibikaji"
 
Jukumu la kukomboa nchi yetu ni letu sisi sote, tusimwachie mtu au kikundi cha watu wapigane dhidi ya haya majambazi.

Cha muhimu kama huwezi kukemea hadharani nenda hata uvunguni mwa kitanda chako unong'one kuwa naichukia CCM. Pili anza kuchukia rangi ya kijani popote uionapo.

Hawa watu hawana huruma hata kidogo. Kwanini tucheke na jambazi ambalo usiku likikuvamia linakuuwa.

Ni nani anafurahia kuona utajiri wa nchii unateketea mikononi mwa watu wachache then haohao wanatukashifu na kuturingishia utajiri wao?
 
Back
Top Bottom