gsu
JF-Expert Member
- Apr 28, 2014
- 3,461
- 712
Tangu kuchaguliwa kwa Rais wa awamu ya tano wa jamhuri ya muungano wa tanzania Dr John Pombe Magufuli upinzania umepotea kabisa katika siasa za ujengaji wa hoja.Kwa mda mrefu sasa sijasikia siasa za hoja ambazo tulitegemea wapinzania wazijenge kwa lengo la kuipa changamoto serikali ya Rais magufuli lakini kitu kama hicho hakipo yawezekana kisitokee.
Kitu ambacho nakiona yawezekana kabisa ikawa mwisho wa upinzani uchwara ambao wamezoea kufanya siasa za kudandia na kusubiri watumishi wa serikali wafanye makosa halafu wao ndiyo wapate hoja kitu ambacho serikali ya magufuli haiwezi kuruhusu kitokee.
Tangu kumalizika kwa uchaguzi mkuu sijasikia wala kuona upinzania ukifanya siasa za kujenga hoja kukemea ufisadi pamoja na mambo ya rushwa jambo ambalo Rais Magufuli analifanya yeye mwenyewe na kufanya upinzani ukose kabisa hoja.
Kama wapinzania hawatajifunza siasa za hoja za kuwasaidia watanzania badala yake wakaendelea kujikita kwenye siasa za matukio ni wazi kabisa wanakwenda kupotea kwenye siasa wakubali wakatae lakini ndiyo ukweli.
Mpinzani gani anaweza kusimama leo na kutupa mipango yake thabiti ya namna gani amepanga kuliendeleza Taifa letu kwa hoja mifano na mpango mkakati wa namna ya kutekeleza aliyopanga?
Kitu ambacho nakiona yawezekana kabisa ikawa mwisho wa upinzani uchwara ambao wamezoea kufanya siasa za kudandia na kusubiri watumishi wa serikali wafanye makosa halafu wao ndiyo wapate hoja kitu ambacho serikali ya magufuli haiwezi kuruhusu kitokee.
Tangu kumalizika kwa uchaguzi mkuu sijasikia wala kuona upinzania ukifanya siasa za kujenga hoja kukemea ufisadi pamoja na mambo ya rushwa jambo ambalo Rais Magufuli analifanya yeye mwenyewe na kufanya upinzani ukose kabisa hoja.
Kama wapinzania hawatajifunza siasa za hoja za kuwasaidia watanzania badala yake wakaendelea kujikita kwenye siasa za matukio ni wazi kabisa wanakwenda kupotea kwenye siasa wakubali wakatae lakini ndiyo ukweli.
Mpinzani gani anaweza kusimama leo na kutupa mipango yake thabiti ya namna gani amepanga kuliendeleza Taifa letu kwa hoja mifano na mpango mkakati wa namna ya kutekeleza aliyopanga?