Kwa kutegemea public sympathy tu, unadhani upinzani Tanzania unaweza kupata kiti walau kimoja tu cha ubunge uchaguzi mkuu 2030?

Kwa kutegemea public sympathy tu, unadhani upinzani Tanzania unaweza kupata kiti walau kimoja tu cha ubunge uchaguzi mkuu 2030?

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
42,558
Reaction score
35,261
Ni obvious, upinzani Tanzania kuhusu urais, watausikia tu kwenye bomba tu, kwasababu, kwanza hawana mgombea mwenye kaliba ya urais, lakini pia, hawana agenda zenye kugusa maisha halisi ya wa wananchi wote wa Tanzania, bali wao, wamejikita zaidi katika kuwatukuza viongozi wao, kwa kampeni za kuchangisha pesa kwaajili ya kuwasitiri viongozi wao, dhidi ya hali ngumu za kimaisha hususani kiuchumi wanazopitia huko mitaani wanakoishi.

Wapinzania hawana sera zenye ushawishi kwa wanachama wao wenyewe, na kwenye vyama vingine vya siasa nchini kitu ambacho kinathibitisha uwezo wao mdogo wa kuliunganisha taifa kisera. Na mbaya zaidi wapinzani Tanzania wana chuki na uhasama mkubwa sana baina yao, na kuwafanya kuko kabisa hoja zenye mashiko au muendelezo, walau za kuwavutia wapiga kura wa nchi hii.

Kubwa wanalolifanya zaidi wapinzani Tanzania kwa sasa, ni kuendekeza chuki na kuchochea uhasama, migawanyiko na ghasia miongoni mwa waTanzania, kwa kisingizio cha kudai au kutetea haki ambazo tayari kila mTanzanai anazo na yuko huru kuzitumia kadiri apendavyo.

Kama mdau wa siasa za Tanzania, una maoni gani kuhusu jambo hili la kisiasa kwa upinzani nchini, kuelekea uchaguzi mkuu wa 2030, ukiachilia mbali uchaguzi wa serikali za mitaa 2029? :NoGodNo:


Mungu Ibariki Tanzania.
 
Kwani mna uhakika 2030 kutakuwa na uchaguzi mkuu ?
 
Kwa utaratibu upi? Labda ungesema kama kutakuwepo kwa utaratibu mpya wa kupiga kura, yaani reform. Kwanza elewa wananchi wamekata tamaa ya kupiga kura, wanataka reforms
 
Kwani mna uhakika 2030 kutakuwa na uchaguzi mkuu ?
Gentleman,
inaonyesha upo upo tu,
yaani huna mipango ya muda mfupi, muda wa kati na muda mrefu, right?

utatoboa kweli?🐒
 
Kwa utaratibu upi? Labda ungesema kama kutakuwepo kwa utaratibu mpya wa kupiga kura, yaani reform. Kwanza elewa wananchi wamekata tamaa ya kupiga kura, wanataka reforms
nikuhakikishie gentleman kama ambavyo niliwahi kueleza humu jukwaani kwamba uchaguzi mkuu wa 2025 ungekua na wapiga kura wengi zaidi kuliko wakati mwingine wowote.

nasema tena kwa msisitizo mkubwa hapa leo kwamba,
uchaguzi mkuu wa 2030 , utakua na wapiga kura wengi zaidi ya uchaguzi uliopita 🐒
 
Ni obvious, upinzani Tanzania kuhusu urais, watausikia tu kwenye bomba tu, kwasababu, kwanza hawana mgombea mwenye kaliba ya urais, lakini pia, hawana agenda zenye kugusa maisha halisi ya wa wananchi wote wa Tanzania, bali wao, wamejikita zaidi katika kuwatukuza viongozi wao, kwa kampeni za kuchangisha pesa kwaajili ya kuwasitiri viongozi wao, dhidi ya hali ngumu za kimaisha hususani kiuchumi wanazopitia huko mitaani wanakoishi.

Wapinzania hawana sera zenye ushawishi kwa wanachama wao wenyewe, na kwenye vyama vingine vya siasa nchini kitu ambacho kinathibitisha uwezo wao mdogo wa kuliunganisha taifa kisera. Na mbaya zaidi wapinzani Tanzania wana chuki na uhasama mkubwa sana baina yao, na kuwafanya kuko kabisa hoja zenye mashiko au muendelezo, walau za kuwavutia wapiga kura wa nchi hii.

Kubwa wanalolifanya zaidi wapinzani Tanzania kwa sasa, ni kuendekeza chuki na kuchochea uhasama, migawanyiko na ghasia miongoni mwa waTanzania, kwa kisingizio cha kudai au kutetea haki ambazo tayari kila mTanzanai anazo na yuko huru kuzitumia kadiri apendavyo.

Kama mdau wa siasa za Tanzania, una maoni gani kuhusu jambo hili la kisiasa kwa upinzani nchini, kuelekea uchaguzi mkuu wa 2030, ukiachilia mbali uchaguzi wa serikali za mitaa 2029? :NoGodNo:


Mungu Ibariki Tanzania.
Screenshot_20260514-220943~2.png
Screenshot_20260531-133321~2.png
 
KWANI KUNA UCHAGUZI BILA REFORM
Gentleman,
reforms kwenye daftari la kudumu la wapiga kura lazima ifanyike kabla ya uchaguzi huo ili kuacomodate wapiga kura wapi na kuwaondoa ambao wameaga dunia.

na hiyo ni kwa mujibu wa sheria 🐒
 
Back
Top Bottom