Hoja ya Udikteta wa Magufuli: Tundu Lissu isn't Right. Haupingwi kwa kupaza sauti kupiga tu Kelele!

Najiuliza TLS inawezaje kuishi kwenye nchi ya Dikteta...mkiitwa wapumbavu mnakasirika!

Najiuliza Tena yule nguli wa sheria huwa anashindaga kesi kwenye mahakama za dikteta au??...mkiitwa wapumbavu mnaandamana.
 
Mwana bodi.

Nimesoma ujumbe wako ulioutoa dhidi ya tundu lissu, na umetoa maoni yako kwamba Mh Tundu lissu amekosea approach aliyoitumia kataika kupinga udikteita.

Umetoa utaratibu unaotakiwa kuchukuliwa kwa mujibu wa sheria ili kupinga udikteita Mahakamani, sas basi ni ama umekosea makusudi au umepitiwa kidogo katika kutoa mtazamo wako,Hivi ni katika mazingira gani Dikteita anakuwepo then mifumo mingine kama mahakama bado ina-function fully free from intervention? Katika tawala za kidiktaita Mtu mmoja ndo anakuwa Judge and jury, Kwahiyo basi ni wazi huwezi kwenda katika mfumo wa sheria mahali ambapo sheria haipo. no longer at ease my friend
Mkuu hebu tufafanulie zaidi hapa kwenye uhusiano wa kuwepo dikteta na kuwa na intervention kwenye mifumo mingine kama mahakama. Maana kiuhalisia hata kama hakuna udikteta au kiashiria cha udikteta, kama mahakama haipo huru ni haipo huru tu. kwa kifupi uhuru wa mahakama unakuwa guaranteed na katiba.
 
Mkuu hebu tufafanulie zaidi hapa kwenye uhusiano wa kuwepo dikteta na kuwa na intervention kwenye mifumo mingine kama mahakama. Maana kiuhalisia hata kama hakuna udikteta au kiashiria cha udikteta, kama mahakama haipo huru ni haipo huru tu. kwa kifupi uhuru wa mahakama unakuwa guaranteed na katiba.
Dilution and partially
 
Sijui no kupevuka kiakili ama laa

Kuna Mzee mmoja wa makamo sana nilikutana nae kijiwen tukawa tunauza chai.

Huyu Mzee aliniambia hili neno " nyie vijana mmesoma, mnauelewa mkubwa na uwezo mnayo mbona hamuutumii?" Akaendelea kusema Kila siku mnalalamika tuu ila hatuoni jitihada za dhati za kujikwamua mliponaswa.

Sasa nina amini hasa nikisoma comment za watu humu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu ni mnafiki wa siku nyingi sana!!! Mwanzoni alisifia sana serikali, akawa anatafuta tonge! Alipoona hakuna dalili za tonge( yaani kupewa ka cheo kokote ndani ya serikali), akaanza kuchafua hali ya hewa! So, huyu jamaa ni ndumila kuwili design Fulani..!!! Huyu huku kwetu musoma simtofautishi na kitu kinaitwa "msimbe" yaani mwanamke unaeweza kumchukua ilimradi uwe na pesa..!!!
Umeshindwa kujadili hoja, unamjadili Paskali. A very strange nation, na watu wake.
 
Jana Lissu amesema kwamba,tukisema tuishtak serikali tutachelewa sana,maana inatakiwa had notisi ya siku 90,sisi tunawashtaki wenyewe,na tumeanza na MaDC, yule wa kwa mwenyekiti ameanza kulalamika,

May Allah bless Me and You
 
_20170718_164911.JPG


May Allah bless Me and You
 
Paskal Mayalla nikuambie kwa kawaida viongozi wa kisiasa hasa watawala wa kiafrika huwa hawaogopi mahakama bali huogopa nguvu ya umma. Kwa hiyo njia aliyotumia Lissu ndio njia sahihi kabisa, na iwapo kuna mwingine anaona njia ya mahakama ni bora basi anaweza kuitumia. .
 
Back
Top Bottom