Hoja ya Udikteta wa Magufuli: Tundu Lissu isn't Right. Haupingwi kwa kupaza sauti kupiga tu Kelele!

Hoja ya Udikteta wa Magufuli: Tundu Lissu isn't Right. Haupingwi kwa kupaza sauti kupiga tu Kelele!

Unaweza kuongelea lugha ya ustaarabu na ukamwacha JPM???
Nafikiri kiswahili bado ni lugha changa na matokeo yake watu km wewe na juma ponda maharage hutumia some words ignorantly.

In short, ustaarabu = civilization, civilised society or country ni ile ambayo kila binadamu anao uhuru wa kutoa maoni yake na nchi inaendeshwa kwa katiba wa wananchi, etc etc.

So nadhani tatizo lako ni lugha, huelewi maana ya ustaarabu, wewe na uchwara by all measures are UNCIVILISED creatures that need to learn civility from people like Tundu Lissu who is going to be President of Tz come 2020, so get prepared.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nafikiri kiswahili bado ni lugha changa na matokeo yake watu km wewe na juma ponda maharage hutumia some words ignorantly.

In short, ustaarabu = civilization, civilised society or country ni ile ambayo kila binadamu anao uhuru wa kutoa maoni yake na nchi inaendeshwa kwa katiba wa wananchi, etc etc.

So nadhani tatizo lako ni lugha, huelewi maana ya ustaarabu, wewe na uchwara by all measures are UNCIVILISED creatures that need to learn civility from people like Tundu Lissu who is going to be President of Tz come 2020, so get prepared.

Sent using Jamii Forums mobile app
Umenielewa lakini? Hilo ni swali la mshangao kuwa JPM kwa matamshi yake anaustaarabu
 
Kwenye hoja ya udikiteta wa rais Magufuli, kuna madikiteta wabaya na madikiteta wazuri au madikiteta wema.
Madikiteta wazuri ni wale ambao wanafanya vitendo vya udikiteta kwa nia njema, hata ikibidi kuivunja katiba, au kukiuka sheria, taratibu na kanuni, kwa nia njema, ni udikiteta unaokubalika, mfano katiba inaruhusu vyama vya siasa kufanya mikutano, rais Magufuli anataka watu wafanye kazi na sio kuwa wazururaji kwa kisingizio cha kufanya maandamano, au kuwa ni watu wanaokaa bure tuu kwa kisingizio cha kuhudhuria mikutano ya siasa, watu wenye muda wa kuhudhuria mikutano ya siasa kila siku ni watu wasio na kazi, hivyo kama tangazo lake la kupiga marufuku mikutano ya siasa na maandamano ni ili watu wasizurure ovyo, na wasikae onyo bila kufanya kazi, then huu ni udikiteta mzuri. Dikiteta wa aina hii anaitwa a benevolent dictator.

Hata kuachiwa kwa Babu Seya, sheria hairuhusu wabakaji na wauwaji kuachiliwa kwa msamaha wa rais, kilichofanyika pia ni udikiteta, ila umefanywa kwa nia njema kuwa vipindi walivyotumikia gerezani, wamejirekebisa, na sasa ni watu wema, hivyo udikiteta is not necessarily ni udikiteta mbaya, udikiteta mwingine ni udikiteta mzuri.

Big up sana rais Magufuli.

Paskali
 
Kwenye hoja ya udikiteta wa rais Magufuli, kuna madikiteta wabaya na madikiteta wazuri au madikiteta wema.
Madikiteta wazuri ni wale ambao wanafanya vitendo vya udikiteta kwa nia njema, hata ikibidi kuivunja katiba, au kukiuka sheria, taratibu na kanuni, kwa nia njema, ni udikiteta unaokubalika, mfano katiba inaruhusu vyama vya siasa kufanya mikutano, rais Magufuli anataka watu wafanye kazi na sio kuwa wazururaji kwa kisingizio cha kufanya maandamano, au kuwa ni watu wanaokaa bure tuu kwa kisingizio cha kuhudhuria mikutano ya siasa, watu wenye muda wa kuhudhuria mikutano ya siasa kila siku ni watu wasio na kazi, hivyo kama tangazo lake la kupiga marufuku mikutano ya siasa na maandamano ni ili watu wasizurure ovyo, na wasikae onyo bila kufanya kazi, then huu ni udikiteta mzuri. Dikiteta wa aina hii anaitwa a benevolent dictator.

Hata kuachiwa kwa Babu Seya, sheria hairuhusu wabakaji na wauwaji kuachiliwa kwa msamaha wa rais, kilichofanyika pia ni udikiteta, ila umefanywa kwa nia njema kuwa vipindi walivyotumikia gerezani, wamejirekebisa, na sasa ni watu wema, hivyo udikiteta is not necessarily ni udikiteta mbaya, udikiteta mwingine ni udikiteta mzuri.

Big up sana rais Magufuli.

Paskali
Udikteta ni udikteta tu.. madikteta wote wanasingizia wananchi wa hali ya chini refer Mugabe, Gadafi and the like.
 
Kwenye hoja ya udikiteta wa rais Magufuli, kuna madikiteta wabaya na madikiteta wazuri au madikiteta wema.
Madikiteta wazuri ni wale ambao wanafanya vitendo vya udikiteta kwa nia njema, hata ikibidi kuivunja katiba, au kukiuka sheria, taratibu na kanuni, kwa nia njema, ni udikiteta unaokubalika, mfano katiba inaruhusu vyama vya siasa kufanya mikutano, rais Magufuli anataka watu wafanye kazi na sio kuwa wazururaji kwa kisingizio cha kufanya maandamano, au kuwa ni watu wanaokaa bure tuu kwa kisingizio cha kuhudhuria mikutano ya siasa, watu wenye muda wa kuhudhuria mikutano ya siasa kila siku ni watu wasio na kazi, hivyo kama tangazo lake la kupiga marufuku mikutano ya siasa na maandamano ni ili watu wasizurure ovyo, na wasikae onyo bila kufanya kazi, then huu ni udikiteta mzuri. Dikiteta wa aina hii anaitwa a benevolent dictator.

Hata kuachiwa kwa Babu Seya, sheria hairuhusu wabakaji na wauwaji kuachiliwa kwa msamaha wa rais, kilichofanyika pia ni udikiteta, ila umefanywa kwa nia njema kuwa vipindi walivyotumikia gerezani, wamejirekebisa, na sasa ni watu wema, hivyo udikiteta is not necessarily ni udikiteta mbaya, udikiteta mwingine ni udikiteta mzuri.

Big up sana rais Magufuli.

Paskali
Dikteta anayeagiza wawakilishi wa wananchi ndani ya bunge watolewe nje ya bunge wakati wa kutimiza wajibu wao ili yeye awashugulikie nje ya bunge ambako hawana immunity ya kibunge! Tumeona namna dikteta huyu mzuri mwenye nia njema kwa namna ambavyo hawa wawakilishi wa wananchi ndani ya bunge (wapinzani) wanavyoshughulikiwa na vyombo vya dola!

Dikteta huyu mwenye nia njema alishangaa sana kuona wakosoaji wa serikali aliowapachika jina (wasaliti) wakiendelea ku survive hadi sasa, jambo ambalo tafsiri ya haraka ni kuwa hawakupaswa kuendelea kuwa hai, baada ya ule mshangao wa dikteta huyu mzuri mwenye nia njema tulishuhudia Mh Lissu (mb) akishambuliwa risasi zaidi ya 30+ kwenye eneo la makazi ya viongozi wa serikali, hadi sasa hakuna mtuhumiwa yeyote aliyetiwa nguvuni kwa tukio hilo.

Dikteta huyu mwenye nia njema anajenga uwanja wa ndege wa mabilioni ya shilingi nyumbani kwao kijijini usiokuwa na matokeo chanya kwa taifa, taifa ambalo huduma zake kijamii ni mbovu kupindukia huwezi kuwaza kujenga uwanja wa ndege kwa maslahi ya mtu mmoja tu badala ya taifa katika ujumla wake.

Hakuna dikteta mzuri na mbaya, madikteta wote duniani hulka za uongozi hufanana, maana dikteta yeye huwa ndio mfumo wa nchi, yeye ndio katiba, na vyote hivi huwa chini yake, na Uhuru wa mwanadamu ni zaidi ya basic need, angalia huko madikteta walikofanya kwa nia njema huku wakisigina Uhuru wa watu kuhoji tawala zao hawakuishia pazuri.
 
Kwenye hoja ya udikiteta wa rais Magufuli, kuna madikiteta wabaya na madikiteta wazuri au madikiteta wema.
Madikiteta wazuri ni wale ambao wanafanya vitendo vya udikiteta kwa nia njema, hata ikibidi kuivunja katiba, au kukiuka sheria, taratibu na kanuni, kwa nia njema, ni udikiteta unaokubalika, mfano katiba inaruhusu vyama vya siasa kufanya mikutano, rais Magufuli anataka watu wafanye kazi na sio kuwa wazururaji kwa kisingizio cha kufanya maandamano, au kuwa ni watu wanaokaa bure tuu kwa kisingizio cha kuhudhuria mikutano ya siasa, watu wenye muda wa kuhudhuria mikutano ya siasa kila siku ni watu wasio na kazi, hivyo kama tangazo lake la kupiga marufuku mikutano ya siasa na maandamano ni ili watu wasizurure ovyo, na wasikae onyo bila kufanya kazi, then huu ni udikiteta mzuri. Dikiteta wa aina hii anaitwa a benevolent dictator.

Hata kuachiwa kwa Babu Seya, sheria hairuhusu wabakaji na wauwaji kuachiliwa kwa msamaha wa rais, kilichofanyika pia ni udikiteta, ila umefanywa kwa nia njema kuwa vipindi walivyotumikia gerezani, wamejirekebisa, na sasa ni watu wema, hivyo udikiteta is not necessarily ni udikiteta mbaya, udikiteta mwingine ni udikiteta mzuri.

Big up sana rais Magufuli.

Paskali
Mara Lissu aende mahakamani kwasababu ya udikteta wa Maghufuli, mara udikteta wa Maghufuli ni wa nia njema na ni udikteta mzuri, hata hueleweki mkuu.
 
Mara Lissu aende mahakamani kwasababu ya udikteta wa Maghufuli, mara udikteta wa Maghufuli ni wa nia njema na ni udikteta mzuri, hata hueleweki mkuu.
Mkuu J. Mushi, ni kweli sieleweki kutokana na viwango tofauti tofauti vya uelewa miongoni mwetu, hivyo kwenye baadhi ya mabandiko yangu, kila mtu ataelewa kwa mujibu wa kiwango chake na uwezo wake wa uelewa, kama yalivyo maji nusu glasi, kwa wengine ni half full, na wengine ni half empty and both are right, hivyo kwenye huu udikiteta uliopo sasa nchini mwetu, unaweza kunisoma kama ninatetea udikiteta, na ukawa right, na kuna mwingine anaweza kunisoma kama ninapinga udikiteta kwa kushauri the right thing to do kuupinga udikiteta, na sio kuupinga kwa kupiga kelele, maandamano, au mikutano ya hadhara.

P.
 
Kwanza mie nipinge DHANA ya ccm kushinda! Chaguzi nyingi ccm haishindi hata kdg BALI inalazimisha matokeo. Wanachoamua wananchi sio kinachotangazwa BALI matakwa ya ccm ndio yanatangazwa. ccm imekuwa ikifanya mambo ambayo binadamu wa kawaida hawezi kuyafanya labda uwe na roho za shetani. mtaji wao umekuwa mapolisi na nec! Ila yana mwisho.
 
Mkuu J. Mushi, ni kweli sieleweki kutokana na viwango tofauti tofauti vya uelewa miongoni mwetu, hivyo kwenye baadhi ya mabandiko yangu, kila mtu ataelewa kwa mujibu wa kiwango chake na uwezo wake wa uelewa, kama yalivyo maji nusu glasi, kwa wengine ni half full, na wengine ni half empty and both are right, hivyo kwenye huu udikiteta uliopo sasa nchini mwetu, unaweza kunisoma kama ninatetea udikiteta, na ukawa right, na kuna mwingine anaweza kunisoma kama ninapinga udikiteta kwa kushauri the right thing to do kuupinga udikiteta, na sio kuupinga kwa kupiga kelele, maandamano, au mikutano ya hadhara.
T
P.
Paskali mimi nina swali dogo sana lkn lenye kuhitaj uelewa sana.

Hivi ikiwa mahakama yetu haiaminiki tena machoni pa wanasiasa wetu hasa upinzan kwa ile dhana tu kwamba " you can't judge case of your own course" na kwamba mahakama iko kutekeleza yale yanayotakiwa na walioiweka hapo ilipo na si vinginevyo. Swali linakuja je? Hakuna njia mbadala ya kuweza kulisemea hili swala la udikteta? Je nini mchango wa, EAC, AU, na UN kwenye kusaidia kutatua hili?
 
Paskali mimi nina swali dogo sana lkn lenye kuhitaj uelewa sana.

Hivi ikiwa mahakama yetu haiaminiki tena machoni pa wanasiasa wetu hasa upinzan kwa ile dhana tu kwamba " you can't judge case of your own course" na kwamba mahakama iko kutekeleza yale yanayotakiwa na walioiweka hapo ilipo na si vinginevyo. Swali linakuja je? Hakuna njia mbadala ya kuweza kulisemea hili swala la udikteta? Je nini mchango wa, EAC, AU, na UN kwenye kusaidia kutatua hili?
Mkuu Gf Son Win, kwa vile hakuna yoyote aliyefungua shauri mahakamani kuomba tafsiri ya kisheria ya kisheria ya amri ya rais, then acha tuipe mahakama the benefits of doubts kuwa shauri lingefunguliwa, mahakama ingetenda haki!.
P
 
Mkuu J. Mushi, ni kweli sieleweki kutokana na viwango tofauti tofauti vya uelewa miongoni mwetu, hivyo kwenye baadhi ya mabandiko yangu, kila mtu ataelewa kwa mujibu wa kiwango chake na uwezo wake wa uelewa, kama yalivyo maji nusu glasi, kwa wengine ni half full, na wengine ni half empty and both are right, hivyo kwenye huu udikiteta uliopo sasa nchini mwetu, unaweza kunisoma kama ninatetea udikiteta, na ukawa right, na kuna mwingine anaweza kunisoma kama ninapinga udikiteta kwa kushauri the right thing to do kuupinga udikiteta, na sio kuupinga kwa kupiga kelele, maandamano, au mikutano ya hadhara.

P.
Mayalla,

The problem is you are trying to serve two masters; consequently, you appear to be disingenuous and worse of all hypocritical. You can play around with words, and think that your level of thinking is on par with Einstein, but the truth is far-fetched. My advice to you is stop beating around the bush...
 
Mayalla,

The problem is you are trying to serve two masters; consequently, you appear to be disingenuous and worse of all hypocritical. You can play around with words, and think that your level of thinking is on par with Einstein, but the truth is far-fetched. My advice to you is stop beating around the bush...
Mkuu Rufuji, I'm not trying to serve two masters, I'm only serving one master, the truth. Ninachofanya is not serving two masters, but while serving the truth master, you recognizing the existence of mightier master who is more than the truth itself, kama recognition is serving, then, yes, I serve two masters!.
P.
 
Mkuu Gf Son Win, kwa vile hakuna yoyote aliyefungua shauri mahakamani kuomba tafsiri ya kisheria ya kisheria ya amri ya rais, then acha tuipe mahakama the benefits of doubts kuwa shauri lingefunguliwa, mahakama ingetenda haki!.
P
Sawa hakuna shauri lolote lililofunguliwa mahakaman kuhusu huu udikteta. Lkn based on the experience of other political cases hii imekuwa kama kitu kinachokatisha tamaa. Tukikumbuka kesi alizokuwa anafungua the late mtikila, na kesi nyingine za kikatiba.

Sasa mm nataka kujua je is there no any other option? Je hizi organizeshi za kimataifa ambazo sisi ni wanachama je zina mchango gani katika kuhakikisha demokrasia inakuwepo nchini?
 
Kuna "wizi mzuri" na "wizi mbaya", kama unafanya wizi kwa nia njema kabisa ya kusaidia familia yako na jamaa zako huu ni "wizi mzuri".

Anyway tumefika hapa kwa sababu vyombo vyetu vya ulinzi havitimizi wajibu wao, mfumo mzima wa ulinzi wa nchi hii ni corrupt, na wakiendelea hivyi hii nchi yetu itabaki magofu tu.
 
Kuna "wizi mzuri" na "wizi mbaya", kama unafanya wizi kwa nia njema kabisa ya kusaidia familia yako na jamaa zako huu ni "wizi mzuri".

Anyway tumefika hapa kwa sababu vyombo vyetu vya ulinzi havitimizi wajibu wao, mfumo mzima wa ulinzi wa nchi hii ni corrupt, na wakiendelea hivyi hii nchi yetu itabaki magofu tu.
Hakuna cha wizi mzuri.Yaani ukiiba unaumiza upande wa pili hivo ni vema kutafuta vya halali sio vya wizi
 
Wanabodi,

Declaration of Interest, mimi Paskali, sio mwanachama, mshabiki au mfuasi wa chama chochote cha siasa, bali hoja zangu zote hutanguliza mbele maslahi ya taifa kwa kuzitoa truthfully, with objectivity, impartiality na balance. Kwa vile watu humu wana vyama vyao na viongozi wao ambao wengine wana waabudia, hivyo nakijua fika kinachomfika mtu atakayepandisha hoja, kuwapinga waabudiwa wao!. Wajemini haya ni maoni na mtazamo wangu tuu and not necessarily I must be right, hivyo Mhe. Tundu Lissu might be right and I might be wrong!.

Naomba nianze kwa kumpongeza Mhe. Tundu Lisu Kwa kutokuwa muoga kuizungumzia dhana ya udikiteta Tanzania bila uoga, japo the way anavyoielezea anazungumza kwa style ile ile ya uropokaji, the Magufuli style, hivyo kuonekana kama insane fulani, lakini ujumbe umefika.



Ukweli Mchungu wa 2020.
Hakuna kitu kigumu kukizungumza humu jf kama ukweli mchungu!, wengi wetu humu wataanza kuizungumzia 2020 on 2019, by that time it will be too little too late!, sisi waona mbali, tunaizungumzia 2020 sasa, ili kutoa muda wa gestation period ya kujipanga and to do something worthwhile before its too late.
CHADEMA Hamkujipanga, hamjajipanga, hamjipangi na hamtajipanga ...
Je, CHADEMA inaweza kushinda 2020? Is it serious, credible ...
CHADEMA Chama cha Ajabu Sana!.Kwenda Mahakamani Kwa Non Issue ...


Kwa siasa hizi Chadema inazokwenda nazo, kwenye mazingira ya udikiteta huu uliopo, kama hawatabadilika, I'm very sorry to say....
Kwa Kasi hii ya Magufuli, kuna haja Kufanya Uchaguzi wa Rais 2020 ...

Je, Kasi ya Magufuli itaua Upinzani Uchwara na Kuimarisha Upinzani ...

In 2015 Election, Tanzania had A Choice To Choose From. Jee Kwa ...

Paskali
Rejea Kuhusu Udikiteta.
Rais Magufuli, Waliomchagua Wanajuta!, Wasiomchagua Wanamshangilia ...

Kama sio udikteta, Mhe. Rais futilia mbali utawala wa sheria ...

Utumbuaji Majipu wa Rais Magufuli: Is It A Right Thing, At The ...

Je, Hizi Terorizing za Ziara za Kushtukiza, Hakutajenga Nidhamu ya ...

Rais hana mamlaka ya kupunguza mshahara wa mtumishi yeyote | Page ...

Nimetishwa, Kushitushwa na Kuogopeshwa na Kauli Hii ya Rais ..

Hili la Polisi kuruhusiwa 'kuwanyanganya' silaha majambazi na ...
Rejea Kumhusu Tundu Lisu
Vurugu za Bungeni: Mhe.Tundu Lissu, Anastahili Adhabu Kali?!. Ni ...
Mhe. Tundu Lissu, Please Acha Kumsulubu Spika Wetu!, Unammaliza ...
Usiyoyajua Kuhusu Nyerere: Shuleni Alikuwa Toto Tundu!, Almanusura ...
Kazi nzuri Tundu Lissu Antipas! | Page 10 | JamiiForums | The Home ...
Swali la Kizushi: Kwa Nini Job Ndugai Anamuogopa Tundu Antipasi ...
Opinion: Kung'atuka Kwa Zitto, CHADEMA, Msishangilie, Mkajisahau ...

Nimependa hiyo spich ya lissu, je unaona kakosea wapi? Acha kujikanyaga paskali umezunguka ila point umeikwepa
 
Back
Top Bottom