Bunge limetoa ratiba ya vikao vyake inaonyesha issues za richmond, atcl, trl na ticts zinajadiliwa jumatano siku ya mwisho ya mkutano. Maswali haya yananijia
a)kwa nini issue hizo muhimu zisubiri siku ya mwisho.Is it strategically planned ili zisiwe na mjadala mrefu due to time limit?
B)mbona hoja binafsi ya Slaa kuhusu marsha haijawekwa ratibani. Au kwa nn kamati ya masilingi isiwasilishe taarifa yake. Au wanataka mchuzi upoe na hatimaye hoja kuzikwa.
Huu ni upuuzi na wizi mtupu
a)kwa nini issue hizo muhimu zisubiri siku ya mwisho.Is it strategically planned ili zisiwe na mjadala mrefu due to time limit?
B)mbona hoja binafsi ya Slaa kuhusu marsha haijawekwa ratibani. Au kwa nn kamati ya masilingi isiwasilishe taarifa yake. Au wanataka mchuzi upoe na hatimaye hoja kuzikwa.
Huu ni upuuzi na wizi mtupu