Phillipo Bukililo
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 18,488
- 13,608
Mikakati mingi tu mkuu, ya zamani wakati wa Lowassa akiutaka urais na hii ya sasa akiwa anamtetea SSH nyuma ya pazia bila ya kuonekana.Lakini jk kiongozi wa kundi la ssh ni bingwa wa mikakati ya kisiasa*
1.jk ni kiongozi wa ssh
2.amefanikisha mkakati upi wa kisiasa?
3
Ukipambana na SSH jua kuwa yupo JK nyuma yake, hivyo jiandae kupigwa nguma na usiye muona.