Kibingu
JF-Expert Member
- Jan 6, 2022
- 1,078
- 1,439
Nichangie kidogo kuhusu mfumo tulionao. Endapo tuna mfumo wa kisiasa na kiutawala kwenye vitabu lakini hatuutumii kwa uaminifu, ni vigumu kujua mapungufu yake.
Mifano ya hujuma za makusudi ipo mingi sana. Tukianza na mfumo wa kisiasa. Sote tunjua abuses zilizowahi kutokea tangu tupate uhuru. Mwl. Nyerere ali-abuse mfumo uliokuwepo mpaka akaiweka nchi kiganjani. Alitumia upenyo wa uelewa finyu wa wananchi kuteka nyara mamlaka yote ya kisiasa na kiutawala mpaka akajiona Mungu mtu.
Baada ya kuanzishwa vyama vingi, watawala walitumia mfumo huu huu kuunda vikundi feki ili vijiite vyama vya upinzani kama geresha. Lengo letu tuonekane tuna demokrasia na tuna vyama lakini kumbe mioyo yetu tunajiambia kuwa tunataka chama kimoja.
Chaguzi zinazofanyika pia zinafanywa kama geresha tu, ionekane tumechaguana. Lakini vyote vinafanyika kwa hadaa tu. Tunapoona kuna mtu au chama kingine kinataka kupata ushindi, tunaingiwa na hofu, kiasi cha kuingiza wanajeshi mtaani wakaendeshe mauaji na kuiba kura.
Kwa ufupi tu, kizazi cha viongozi wengi wa Afrika, yabidi kipinduliwe kwa nguvu na wengine wauliwe (assassinated) ili kutoa mwanya wa kuanzisha mifumo mipya au kuimarisha utii kwa mifumo iliyopo. Tusijidanganye kuwa tukibadili mifumo tu inatosha. Tubadili pia utii kwenye mifumo iliyopo.
Mtu asiyetii mifumo, na kwa bahati mbaya ana mamlaka juu ya vyombo vya kisheria na kijeshi, iwe ni halali kuuliwa na raia wazalendo kupisha wenye nia ya dhati ya kutii mifumo iliyopo.
Mifano ya hujuma za makusudi ipo mingi sana. Tukianza na mfumo wa kisiasa. Sote tunjua abuses zilizowahi kutokea tangu tupate uhuru. Mwl. Nyerere ali-abuse mfumo uliokuwepo mpaka akaiweka nchi kiganjani. Alitumia upenyo wa uelewa finyu wa wananchi kuteka nyara mamlaka yote ya kisiasa na kiutawala mpaka akajiona Mungu mtu.
Baada ya kuanzishwa vyama vingi, watawala walitumia mfumo huu huu kuunda vikundi feki ili vijiite vyama vya upinzani kama geresha. Lengo letu tuonekane tuna demokrasia na tuna vyama lakini kumbe mioyo yetu tunajiambia kuwa tunataka chama kimoja.
Chaguzi zinazofanyika pia zinafanywa kama geresha tu, ionekane tumechaguana. Lakini vyote vinafanyika kwa hadaa tu. Tunapoona kuna mtu au chama kingine kinataka kupata ushindi, tunaingiwa na hofu, kiasi cha kuingiza wanajeshi mtaani wakaendeshe mauaji na kuiba kura.
Kwa ufupi tu, kizazi cha viongozi wengi wa Afrika, yabidi kipinduliwe kwa nguvu na wengine wauliwe (assassinated) ili kutoa mwanya wa kuanzisha mifumo mipya au kuimarisha utii kwa mifumo iliyopo. Tusijidanganye kuwa tukibadili mifumo tu inatosha. Tubadili pia utii kwenye mifumo iliyopo.
Mtu asiyetii mifumo, na kwa bahati mbaya ana mamlaka juu ya vyombo vya kisheria na kijeshi, iwe ni halali kuuliwa na raia wazalendo kupisha wenye nia ya dhati ya kutii mifumo iliyopo.