Hofu ya Mbowe na CHADEMA juu ya Zitto

Hofu ya Mbowe na CHADEMA juu ya Zitto

Fata yako! Watu bhana umejuaje kuwa z.z.k ndo alikuwa Mhamasishaji? na km alikuwa mwuaji wa Chama je?,Usifikiri ndani ya kisanduku tu!,jitahindi Ufikiri hata nje ya Kisanduku pia,uone na ulinganishe mambo.Mtanzania amka usilale,hata km mimi sina Chama lkn siwezi kukiponda Chama chochote Cha Upinzani au Tawala Kwasababu SIASA ni mzunguko,Leo watauza hawa kesho wengine.
 
mtoa mada atakuwa na kadi ya ACT.... maana ndio vibaraka wa ccm.

act wapo kwaajiri ya kupunguza kasi ya ukawa.
 
mtoa mada mngese wewe.utasubiri sana CHADEMA ife.naona unawashwa sana.kwa taarifa yako CHADEMA ndo itatoa rais wa awamu ya tano
 
Wala si uongo, nyinyi zoeni taka tu, CCM wanapuyanga kuelekea uchaguzi.

Mtu anaepuyanga siku huwa hajui aendako, endeleeni kupuyanga na mafisadi wenu akina Lowassa na kina Andrew Chenge😕
 
Mtu anaepuyanga siku huwa hajui aendako, endeleeni kupuyanga na mafisadi wenu akina Lowassa na kina Andrew Chenge😕

Nyie zoeni taka tu, sisi haaaaaao, tunapuyanga wala wasi wasi hatuna, nyota njema huonekana alfajiri.
 
Nyie zoeni taka tu, sisi haaaaaao, tunapuyanga wala wasi wasi hatuna, nyota njema huonekana alfajiri.

Nyota ipi njema kwenu wakati sasa ni mawio???

Ona Rais wenu anatumia biliion2 kwny msafara wake kwenda kuomba nje 1billion, endeleeni kupuyanga kwa kodi zetu!
 
Nyie zoeni taka tu, sisi haaaaaao, tunapuyanga wala wasi wasi hatuna, nyota njema huonekana alfajiri.

Kuna watu baada ya Oct. Watabadilisha Id zao na wengine watatamani hata sura wabadilishe.
 
Ndugu zsngu, hamjambo? npo hapa nikiwa na swali juu ya wanasiasa wa CHADEMA. Nikiwa na matokeo yangu ya utafiti wangu mdogo tu, nimeweza kukibaini chama pamoja na wanachama wa CHADEMA kuwa "speed" ya kuelekea mjengoni imeanza kufifia tangu kuisha kwa safari ya ubunge wa mh. Z.Z.K. Tukisema kua Z.Z.K alikua ndiye mhamasishaji mkuu wa chama hicho tutakosea? au sijaifahamu bado nia ya chama hicho? kasi fujo mikutanoni inazidi kukua, kesi mahakamani ni kawaida kwao, matusi na kejeli bungeni ndo usiseme. Je, chama hakioni kua kinakosa uaminifu wa kupewa na kushikilia dola?
Mtazamo wangu:- chama kinatakiwa kujichunguze utofauti wao na enzi za uwepo wa Z.Z.K.

Chadema walishapambanua kuwa ni wachumia tumbo, Makuwadi wa Mafisadi wa CCM pamoja na watumia fursa za changamoto zilizopo ili kuibomoa Nchi. Hawana la ziada.
 
Mtoa mada usipende kuish kwa kutegemea posho za z z k
 
Binafsi nataka mabadiliko ila upinzani haujajipanga na haujitambui, hawatoi sera zao isipokuwa kuponda sisiemu, hii imekuwa toka chaguzi zilizopita! Sioni upinzani wakishika dola hivi karibuni, ZZK alikuwa ni jembe CHADEMA, huu ndo ukweli!
Asiyetaka AACHE kusoma hii comment.
 
Zitto ndio aliijenga CDM baada y Dj Mbowe na Padre Slaa kusua sua kwa wizi
 
Back
Top Bottom