Hofu ya Mbowe na CHADEMA juu ya Zitto

Hofu ya Mbowe na CHADEMA juu ya Zitto

basi kigoma ni ya ajabu sana labda ndiyo maana wachumi huichukulia kigoma kama moja ya mikoa iliyo nyuma kimaendeleo ukiilinganisha na mikoa mingine. kwa sababu sera hutengenezwa na chama hivyo usipo chagua chama hujielekezi kwenye sera yoyote.

kama sera ni chama na sio mtu basi washawishi waichague NLD ina sera nzuri tu! halafu baada ya uchaguzi urudi humu kutupa matokeo.
 
Wasalamaleku sisi ni waarabu sisi waafrica vipi wewe au hauna lugha ya Kabila lako unatuletea mambo ya jihad hapa kwani umeambiwa nani tunataka kujilipua mabomu ili twende peponi ??

We mnafiki sana! ina maana hujui maana ya Asalaam Aleykum! Basi sema "Shalom" roho yako iridhike.
 
Wasalamaleku sisi ni waarabu sisi waafrica vipi wewe au hauna lugha ya Kabila lako unatuletea mambo ya jihad hapa kwani umeambiwa nani tunataka kujilipua mabomu ili twende peponi ??

Umepanic...
 
Vipi na kushuka kwa idadi ya Madiwani Jimbo la Zitto (Kigoma Kaskazini) kutoka 11 mwaka 2000 hadi sasa 2 je nao walipinguzwa na uongozi wa CHADEMA? unapotuhumu uongozi wa CHADEMA unamuondoaje Zitto juu ya tuhuma hizo wakati alikuwa Naibu katibu mkuu Bara?
Je kwa hicho ulichokiandika na jinsi Zitto alivyokuwa akisaidia kuiporomosha CDM huko Kigoma je sio yeye aliyefanya njama hadi akina Kafulila na Machali kufukuzwa CDM akiwa na lengo la wazi kuwa waondoke na lengo lake likiwa CDM ikose idadi kubwa ya Wabunge huko Kigoma ili abaki yeye pekee?

Wakati huu ndio mtajua alikuwa mbunge wa kigoma kaskazini au mbunge wa taifa
 
Poor analysis hiyo bro, Zitto hakuijenga chadema, chadema ilikuwepo kabla ya zitto, hata wewe ungekuwa ndiye zitto kipindi hicho lazima ungezunguka mikoani kukieneza chama, lakini kama kawaida, TISS na CCM wakampenda zaidi ZZK, Na huyo kijana kutokana na njaa zake akaingia Mkenge...Kuna taarifa kuwa, ZZK ndiye aliyerahisisha kushawishiwa kwa mlinzi wa Dr. slaa ili aweze kutimiza ndoto ya CCM na TISS.
mkuu naona umeamua kupasua!!
 
ally kanah tafadhari jibu swali ni kwanini CDM ilipoteza viti vya udiwani wakati zito yupo na viti vya ubunge kuchukuliwa na nccr mageuzi mbele ya huyo zito wako?

jiulize nikwanini zito alikuwa kazunguka majimbo mengi kufanya kampeni kuliko mbunge yoyote wa cdm?
 
Wasalamaleku sisi ni waarabu sisi waafrica vipi wewe au hauna lugha ya Kabila lako unatuletea mambo ya jihad hapa kwani umeambiwa nani tunataka kujilipua mabomu ili twende peponi ??
Rabuor unajuaa maaba ya jina hilo kwa kiyunani wewe ni myunani

Nikuoe maaana na yakee wewe usiojuaa maaanaa
 
Last edited by a moderator:
Ndugu zsngu, hamjambo? npo hapa nikiwa na swali juu ya wanasiasa wa CHADEMA. Nikiwa na matokeo yangu ya utafiti wangu mdogo tu, nimeweza kukibaini chama pamoja na wanachama wa CHADEMA kuwa "speed" ya kuelekea mjengoni imeanza kufifia tangu kuisha kwa safari ya ubunge wa mh. Z.Z.K. Tukisema kua Z.Z.K alikua ndiye mhamasishaji mkuu wa chama hicho tutakosea? au sijaifahamu bado nia ya chama hicho? kasi fujo mikutanoni inazidi kukua, kesi mahakamani ni kawaida kwao, matusi na kejeli bungeni ndo usiseme. Je, chama hakioni kua kinakosa uaminifu wa kupewa na kushikilia dola?
Mtazamo wangu:- chama kinatakiwa kujichunguze utofauti wao na enzi za uwepo wa Z.Z.K.
 
Hoja yako nzuri ila hujitakii mema ngoja BAVICHA waje full matusi,kebehi,story za kutunga plus majigambo.
 
Wanawaza kupiga hela tu chali yangu, chadema wako kimapato zaidi, we miaka 23 chama Hakina Jengo la makao makuu! Duh!
 
CHADEMA hawana pupa. tunasubiri wagombea wa ccm wamalizane kwa kuharibiana ndio tuanze. Usiwe na presha dogo CDM bado iko juu.
Acha kina 6 , chemba,sijui mdudu gani wammalize EL ndio tuingie ulingoni
 
Back
Top Bottom