sadakta sadakta, yaani leo pepo nyeupee kiulaini! Kiasi tu nijipendekeze kwa mjeshi nipigwe ngeu! Utaendaje sardausi kwenye mahulu72 wenye kiuno kama nyigu makali40ft bila ngeu? Imekuwa harusi au? Takbiriiiiiiiiii!daah, wallah hatutakii!msipoandamana leo waislam...mafalaaaa!!! ingieni barabarani mpambane na hao Policcm, vijana wa al haji Mwema na al haj Kikwete!!! najua hawawawezi na hata mkifa, pepo inawasubiri!!
akili zao zipo makalion
ikiwezekana wauwawe wote maana ni wajinga
Wanajamvini nimetumia msg magomeni hapafai, nipo mitaa ya Salenda nimeona pikipiki za tigo zimepita kama 100 hivi kuna nini uko usalama jamani
Matatizo ya kuzifanya DINI kama mama aliyekuzaa ndio hayo. DINI ni kama mke. Unaweza kuibadili, kuiacha, kujitenga au hata kubaki unaitazama tu.
abatoba!ubalozi upo maeneo ya kwa bibi paka.
ahahahahahaaaaaaaaaaaa_mimi sio mpagani mkuu...mpaka sasa ni mfuasi wa mazoea(church goer) wa mojawapo wa hizi dini za mapokeo,...ila sipendi huu ujinga unaotokana na waumini wa hizi dini za kimapokeo....ila niko njiani kuelekea tuliko toka...get me now..?
Mwandishi wa habari Azizi kutoka Kariakoo ameripoti kwamba makundi ya wananchi ambao wapo Kariakoo yameanza kuondoka Kariakoo kuelekea majumbani kwa sababu hali sio nzuri, polisi wametanda kwenye barabara zote ambapo magari yanayotoka sehemu mbalimbali kuingia mjini yamezuiwa kuingia kutokana na kikundi cha waandamanaji kilichojiandaa kuandamana kuelekea kwenye ofisi ya Waziri mkuu kutawanyishwa kwa mabomu ya machozi na kikundi kikasambaratika.
Polisi bado wanaendelea kudumisha ulinzi ambapo kwa sasa maduka yamefungwa na mengine yanaendelea kufungwa, shughuli nyingine za kawaida zimesimama na kwa sasa msururu wa watu unarudi kuelekea majumbani, vikundi vya maandamano vimeripotiwa kujikusanya kwenye maeneo tofauti tofauti.
Polisi wanatumia Farasi, Mbwa na magari kusimamia amani ambapo vikundi vilivyojaribu kuandamana vilikua na bendera na wengine walikua na fimbo kabisa, na walikua na gari maalum ambalo walikua wamepanga ndio walitumie kwenda mjini kwenye ofisi ya waziri mkuu lakini polisi wakawawahi na kuwasambaratisha.
Fimbo za nini sasa??
pengine safari hii wanataka wamcharaze waziri vibokoFimbo za nini sasa??
Tuacheni tupumuweeeeee
Uislamu ulienezwa kwa njia ya upanga i mean vita (jihad) mtume na wafuasi wake walipigana vita kwahiyo waislamu wengi wana hiyo spirit ya vita kutoka kwa kiongozi wa dini yao kwasababu ni lango kwao, on the other hand Yesu hakulazimisha watu wamuamini wala wafuasi wake wale wanafunzi wake kumi na mbili hawakupigana vita walihubiri tu injili waliaminiwa kwa matokeo ya mahubiri/injili yao kwasababu watu walipona magonjwa, pepo zililitoka n.k kwa hiyo wakristo wamerithi this spirit of peace nad love from Jesus ambaye ni mwanzilishi na lango kwa wakristo ndio maana wakristo ni watu wa amani, waislamu wanahitaji kuombewa tu.
Mungu wao anatukuza starehe za mwili kuliko roho. eti ukifa utakutana na nyoka mwenye vichwa saba kaburini. sasa waliokufa kwa ajali ya moto je? ati peponi kuna wanawake wanaitwa hurlain wana ****** makubwa yaani wanahusudu kufirana tuu. mtume wao kaoa 12, kati ya hao wengi ni under 18. wao wamebaniwa wa 4 tena above 18. duh