Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 25,842
- 50,556
Nimewaza tangu enzi za utumwa mpaka Sasa, katika vitu waafrika wanaogopa Sana ni kifo.
Ukichunguza kwa makini waafrika tunawaza zaidi kufa na baada ya kifo kuliko kuishi kabla ya kifo.
Tunawaza tukifa kitatokea nini badala ya kuwaza tunavyoishi kabla ya kufa maisha yetu yana thamani ipi!
Mababu zetu waliingizwa utumwani kwa kuwa waliwaza wakipingana na waarabu/wazungu basi wao watauawa. Matokeo yake walifanywa watumwa kwa hofu ya kuuawa.
Fikiria Mwarabu/mzungu mmoja aliwezaje kuwafanya mamia ya waafrika watumwa? Hofu ya kifo.
Watu kama Mkwawa au Kinjekitile na wengineo waliishia kufa na bila ya kuheshimiwa na watu wao lakini kina mangungo wa msowero waliishi kwa amani lakini wakiwa utumwani!
Hata Leo Afrika vita zote zilizopo zinatokana na harakati za baadhi ya watu kuogopa kufa na siyo kupigania thamani ya maisha yao wanayoishi kwa Sasa.
kwa ivo hofu ya kifo ndiyo inayozuia waafrika kuwaza jambo jingine lolote lile zaidi ya kusubiri kufa.
Ukichunguza kwa makini waafrika tunawaza zaidi kufa na baada ya kifo kuliko kuishi kabla ya kifo.
Tunawaza tukifa kitatokea nini badala ya kuwaza tunavyoishi kabla ya kufa maisha yetu yana thamani ipi!
Mababu zetu waliingizwa utumwani kwa kuwa waliwaza wakipingana na waarabu/wazungu basi wao watauawa. Matokeo yake walifanywa watumwa kwa hofu ya kuuawa.
Fikiria Mwarabu/mzungu mmoja aliwezaje kuwafanya mamia ya waafrika watumwa? Hofu ya kifo.
Watu kama Mkwawa au Kinjekitile na wengineo waliishia kufa na bila ya kuheshimiwa na watu wao lakini kina mangungo wa msowero waliishi kwa amani lakini wakiwa utumwani!
Hata Leo Afrika vita zote zilizopo zinatokana na harakati za baadhi ya watu kuogopa kufa na siyo kupigania thamani ya maisha yao wanayoishi kwa Sasa.
kwa ivo hofu ya kifo ndiyo inayozuia waafrika kuwaza jambo jingine lolote lile zaidi ya kusubiri kufa.