mzalendo kijana
Member
- May 15, 2020
- 12
- 4
Nimekuwa mhudhuriaji mkuu wa jf hasa jukwaa la siasa, hivyo napiga hodii kama new member....
Mgeni gani anakauja usikuNimekuwa mhudhuriaji mkuu wa jf hasa jukwaa la siasa, hivyo napiga hodii kama new member....
ahsante saaaaana mkuuKaribu kijanaaaa,
Nakutahadharisha usije ukautosa uzalendo wako maana 2/3 ya members humu wanatamani wamwage mboga na ugali ili tukose wote. Kama huna uvumilivu vizuri kuchungulia tu.
Ila in jukwaa lenye kukomaza bongo
Karibu na uingie karantini siku 14 kwa gharama zako!Nimekuwa mhudhuriaji mkuu wa jf hasa jukwaa la siasa, hivyo napiga hodii kama new member....
Karibu sana jifunze kuwa mvumilivu maana si kila utakachoona kitakurahishaNimekuwa mhudhuriaji mkuu wa jf hasa jukwaa la siasa, hivyo napiga hodii kama new member....
Karibu na uingie karantini siku 14 kwa gharama zako!
[/QUOT
itifaki itazingatiwa kiongozi
Id yako nyingine ni ipi? Yaani ya zamani.Nimekuwa mhudhuriaji mkuu wa jf hasa jukwaa la siasa, hivyo napiga hodii kama new member....
Kama anachunguliaga na amekiri anapenda siasa ni wazi tayari ana upande wake. Rangi zake zitaonekana tu.Karibu sana mgeni,ila kule endelea kuchungulia tu,mengine usiguse,hasa kile chumba namba tano.
Ahsanteee mkuu ndio mara yangu ya kwanza hivyo hiyo ndiyo ID yanguId yako nyingine ni ipi? Yaani ya zamani.
anyway, KARIBU SANA NEW ID.
Ok, Karibu sana mkuu.ahsante
Ahsanteee mkuu ndio mara yangu ya kwanza hivyo hiyo ndiyo ID yangu