Yericko Nyerere JF-Expert Member Dec 22, 2010 16,987 20,271 May 12, 2011 #1 Japo mie ni boss wenu lakini ndani ya jf ni mgeni! Tafadhari ndugu zangu naomba ushirikiano na mwongozo wa jf!!!
Japo mie ni boss wenu lakini ndani ya jf ni mgeni! Tafadhari ndugu zangu naomba ushirikiano na mwongozo wa jf!!!
Mpevu JF-Expert Member Nov 23, 2010 1,805 173 May 12, 2011 #2 Mkuu, Kwanza karibu, kama ni 'utambulisho' lipo jukwaa maalum...ngoja mods waihamishe hii na kukupeleka kwenye HODI ili wadau tukupokee.
Mkuu, Kwanza karibu, kama ni 'utambulisho' lipo jukwaa maalum...ngoja mods waihamishe hii na kukupeleka kwenye HODI ili wadau tukupokee.
samora10 JF-Expert Member Jul 21, 2010 7,594 4,798 May 12, 2011 #3 wewe ni bosi wetu kivip? halafu nagalia mlango wa kuingilia utajajikuta choo cha mashoga siku moja
mtemiwaWandamba JF-Expert Member May 2, 2011 561 223 May 12, 2011 #4 Duh ...Karibu sana Boss.lakini umekosea kidooogo, mlango ule uloandikwa utambulisho ndio unakuelekeza mapokezi au chumba cha wageni.
Duh ...Karibu sana Boss.lakini umekosea kidooogo, mlango ule uloandikwa utambulisho ndio unakuelekeza mapokezi au chumba cha wageni.