TONGONI
JF-Expert Member
- Feb 18, 2011
- 1,041
- 373
Hodi jukwaani,heshima kwa wakubwa na wadogo,kwa siku za karibuni nimekuwa nikitumia muda mwingi ktk jf kwa kweli nimejifunza mengi kupita nilivyo tarajia,na kizuri zaidi nimeona yale ambayo ingawa kwa upeo wangu mdogo nami naweza kufaidisha wengine kwa namna moja au nyingine.natumaini mtanipokea kwa mikono miwili