Hodi JF

Nyakarungu

JF-Expert Member
May 1, 2011
472
375
Nimekuwa msomaji wa muda mrefu sana wa mtandao jamii huu,na nimefurahishwa na kurasa zake, hivyo leo naomba kupokelewa kwani ndio nimejiunga leo japokuwa mimi ni miongoni mwa wafuatiliaji wakubwa na wa zamani wa taarifa za humu.jamani naombeni tudumishe fikra za wapenda maendeleo na tuwe na mtazamo wa mafanikio zaidi.
Naitwa, Grayson Nyakarungu
''Washa Taa Mchana''
 
Nimekuwa msomaji wa muda mrefu sana wa mtandao jamii huu,na nimefurahishwa na kurasa zake, hivyo leo naomba kupokelewa kwani ndio nimejiunga leo japokuwa mimi ni miongoni mwa wafuatiliaji wakubwa na wa zamani wa taarifa za humu.jamani naombeni tudumishe fikra za wapenda maendeleo na tuwe na mtazamo wa mafanikio zaidi.
Naitwa, Grayson Nyakarungu
''Washa Taa Mchana''

hii si sehemu ya kupigia hodi...
 
wewe nangwangwa...acha hizo wewe,kwni humu sio kwako...tafuta kijiwe cha kujibu upumbavu wako huo...........naamini kila ajaye humu anafaida kwa jamii,najua wewe uko hapa kwa kufanya umbea tu............Nyakarungu welccome mimi nakufahamu kwa kupitia vyombo vya habari tu na fununu kuwa wewe unagombea bavicha,bt hapa ndipo nitaweza kukufahamu vizuri kwa hoja zako.....uwezo wako wa kujenga hoja na kuisimamia,pia usitegemee mm nitakuunga mkono kwa sura yako au misifa uliyonayo,ila nitakukubali kwa kukusikia unampango gani mbele ya hapo....tahadhari ni kuwa humu kuna ushabiki mwingi ni sehemu ya kupima busara na upeo wako pia.......KARIIIBU.
 
Nimekuwa msomaji wa muda mrefu sana wa mtandao jamii huu,na nimefurahishwa na kurasa zake, hivyo leo naomba kupokelewa kwani ndio nimejiunga leo japokuwa mimi ni miongoni mwa wafuatiliaji wakubwa na wa zamani wa taarifa za humu.jamani naombeni tudumishe fikra za wapenda maendeleo na tuwe na mtazamo wa mafanikio zaidi.
Naitwa, Grayson Nyakarungu
''Washa Taa Mchana''

Mwaego, karibu!! kupiga hodi ni busara.
 
mkuu kamwelekeza mwenzetu, sio unachekea makosa matokeo yake yanazaa ufisadi, kama jinsi taifa letu linavyoangamia , hii sio sehemu ya hodi, huo ndio ukweli lakini hayo matusi yako hapo chini unaitaji kikombe cha babu
anyway msekwa na makamba wanaendeleaje na mkakati wao mkuu?
wasalimie
wewe nangwangwa...acha hizo wewe,kwni humu sio kwako...tafuta kijiwe cha kujibu upumbavu wako huo...........naamini kila ajaye humu anafaida kwa jamii,najua wewe uko hapa kwa kufanya umbea tu............Nyakarungu welccome mimi nakufahamu kwa kupitia vyombo vya habari tu na fununu kuwa wewe unagombea bavicha,bt hapa ndipo nitaweza kukufahamu vizuri kwa hoja zako.....uwezo wako wa kujenga hoja na kuisimamia,pia usitegemee mm nitakuunga mkono kwa sura yako au misifa uliyonayo,ila nitakukubali kwa kukusikia unampango gani mbele ya hapo....tahadhari ni kuwa humu kuna ushabiki mwingi ni sehemu ya kupima busara na upeo wako pia.......KARIIIBU.
 
hii si sehemu ya kupigia hodi...


wewe nangwangwa...acha hizo wewe,kwni humu sio kwako...tafuta kijiwe cha kujibu upumbavu wako huo...........naamini kila ajaye humu anafaida kwa jamii,najua wewe uko hapa kwa kufanya umbea tu............Nyakarungu welccome mimi nakufahamu kwa kupitia vyombo vya habari tu na fununu kuwa wewe unagombea bavicha,bt hapa ndipo nitaweza kukufahamu vizuri kwa hoja zako.....uwezo wako wa kujenga hoja na kuisimamia,pia usitegemee mm nitakuunga mkono kwa sura yako au misifa uliyonayo,ila nitakukubali kwa kukusikia unampango gani mbele ya hapo....tahadhari ni kuwa humu kuna ushabiki mwingi ni sehemu ya kupima busara na upeo wako pia.......KARIIIBU.



mkuki moyoni
Join Date : 29th April 2011
Posts : 42
Thanks 0 Thanked 0 Times in 0 Posts
Rep Power : 0






mbona Ng'wanangwa ametoa ushauri tuu kuhusu .... wewe pia ni mgeni tena umejiunga juzi ...haujui hata sheria za humu jf ..kuna jukwaa mahsusi la member introduction ..... huku ni kudandia gari kwa mbele ....hata membership status yako haijabadilika halafu unandika lugha za kebeli kwa wenzako

mods ban this idiot
 
haya maneno ni ya kitapeli au kumdenda mtu
wewe nangwangwa...acha hizo wewe,kwni humu sio kwako...tafuta kijiwe cha kujibu upumbavu wako huo...........naamini kila ajaye humu anafaida kwa jamii,najua wewe uko hapa kwa kufanya umbea tu............Nyakarungu welccome mimi nakufahamu kwa kupitia vyombo vya habari tu na fununu kuwa wewe unagombea bavicha,bt hapa ndipo nitaweza kukufahamu vizuri kwa hoja zako.....uwezo wako wa kujenga hoja na kuisimamia,pia usitegemee mm nitakuunga mkono kwa sura yako au misifa uliyonayo,ila nitakukubali kwa kukusikia unampango gani mbele ya hapo....tahadhari ni kuwa humu kuna ushabiki mwingi ni sehemu ya kupima busara na upeo wako pia.......KARIIIBU.
 
haya nisameheni,tusichafue mada ya Nyakarungu,kwani anahitaji kufurahia kuwemo humu,si mnaoana tumesababisha amekaa kimya.....basi tuache jamani mimi nikubali nimekosa. Nyakarungu sema kijana....usiogopeee ndivyo jf ilivyo.........hahahaaaaaaaa
 
To every action,there is equal and opposite reaction, so for the sake of democracy am let every body speak with no undisplinary manner...thanks for your contributions and alerting me the oliblatory rules and its by laws, ''the youth as the engine root of any association we have to stand against tryrants and outethical leaders,in order to achieve the nation we dream about''
 
mkuki moyoni
Join Date : 29th April 2011
Posts : 42
Thanks 0 Thanked 0 Times in 0 Posts
Rep Power : 0






mbona Ng'wanangwa ametoa ushauri tuu kuhusu .... wewe pia ni mgeni tena umejiunga juzi ...haujui hata sheria za humu jf ..kuna jukwaa mahsusi la member introduction ..... huku ni kudandia gari kwa mbele ....hata membership status yako haijabadilika halafu unandika lugha za kebeli kwa wenzako

mods ban this idiot

Ndo JF mkuu
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom