Nyakarungu
JF-Expert Member
- May 1, 2011
- 472
- 375
Nimekuwa msomaji wa muda mrefu sana wa mtandao jamii huu,na nimefurahishwa na kurasa zake, hivyo leo naomba kupokelewa kwani ndio nimejiunga leo japokuwa mimi ni miongoni mwa wafuatiliaji wakubwa na wa zamani wa taarifa za humu.jamani naombeni tudumishe fikra za wapenda maendeleo na tuwe na mtazamo wa mafanikio zaidi.
Naitwa, Grayson Nyakarungu
''Washa Taa Mchana''
Naitwa, Grayson Nyakarungu
''Washa Taa Mchana''