Hodi hodi wana J.F!

Nataka ku-test zali la mentali na wenye watoto ambao si wangu siwataki..... Humu ndani wote wana wenza wao kasoro mimi........Nieleze basi Masasi sehemu gani..........??? Uwanja wa fisi........, Mbaju........., Chanikanguo........., mkuti.........??? Unamfahamu mama AFRIKA...???

duu!kweli unapajua masasi!nipo hapa rest,karibu sana
 
Back
Top Bottom