Hodi hodi humu...wakaka msinitongoze.....mahalatito ....msinisute.

Memo

JF-Expert Member
Jan 17, 2011
2,157
760
Jamani nimevutiwa na mijadala motomoto..........nikaribisheni basi nijisikie raha!!
 
Memo,
Sina hakika na jina lako hilo, sijui umekuja kutupa ONYO humu jamvini ama otherwise..
 
karibu sana - naomba namba zako za simu..............................................
 
duh umejuaje humu wakaka wanatongoza?hiyo ndo adabu uliyokuja nayo toka kwenu?mnafubnzwa kweli maadili kwenu ww?:frusty:
 
Karibu sana, ila hiyo midomo yangu mhhhhhh! very sexxxy...pata kinywaji unachopenda kwenye hiyo fridge hapo pembeni.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom