duh umejuaje humu wakaka wanatongoza?hiyo ndo adabu uliyokuja nayo toka kwenu?mnafubnzwa kweli maadili kwenu ww?:frusty:
unajua kuna watu huwa wanaongea kinyume,utajuaje sasa.
duh umejuaje humu wakaka wanatongoza?hiyo ndo adabu uliyokuja nayo toka kwenu?mnafubnzwa kweli maadili kwenu ww?:frusty:
Jamani nimevutiwa na mijadala motomoto..........nikaribisheni basi nijisikie raha!!
Nimeona mtu analalamika mnamtongoza sana jamani ndo nikaweka warning tu kwa yeyote anayetaka kufanya hivyo afanye akielewa sitongozeki kimtandao.Mh p'se hiyo heading yako.....
inamaana kina 1st lady, Tatiana, Pearl, Nyamayao, mamushka, shost
Afrodez na wengineo...wote wameshatongozwa humu jamvini
Waombe radhi maana kuna vikongwe humu hawatongozeki
Unajuwa kila nikijiuliza nakosa jibu, hivi unaogopa kutongozwa kwa kuwa uwezi kukataa au...!?Jamani nimevutiwa na mijadala motomoto..........nikaribisheni basi nijisikie raha!!
Karibu sana . ila hiyo red hapo inabaki mikononi mwako ku-iprove, kabla wenzako hawaja ku prove wrong.Nimeona mtu analalamika mnamtongoza sana jamani ndo nikaweka warning tu kwa yeyote anayetaka kufanya hivyo afanye akielewa sitongozeki kimtandao.
Najiunga na hao wasiotongozeka.
Dah! Sasa hapa mtihani, maana sikumbuki mara ya mwisho kutongoza ilikuwa mwaka gani...! Aaah... Mmmmh... sasa huu mtihani umenishinda... Bora umfikirie huo huo uliyemuomba abadili avatar yake...!kama unataka prove anza vesi basi dia!
The Following User Says Thank You to X-PASTER For This Useful Post:Dah! Sasa hapa mtihani, maana sikumbuki mara ya mwisho kutongoza ilikuwa mwaka gani...! Aaah... Mmmmh... sasa huu mtihani umenishinda... Bora umfikirie huo huo uliyemuomba abadili avatar yake...!
Na wewe nawe toka lini watu wazima wakatongozana bana...!
Unataka number ya cm? badili avatar kwanza! unanitisha
kama unataka prove anza vesi basi dia!