Taasisi zetu za elimu hazina michango ya kimawazo juu ya mambo mbalimbali ya kitaifa

IQ PLUS

Senior Member
Aug 22, 2023
127
163
Taasisi za elimu ya juu miaka ya nyuma nakumbuka ziliweza kutoa mawazo na michango ya kimawazo juu ya mambo mbalimbali ya kitaifa na yaliweza kusikilizwa na kufanyiwa kazi na serikali kwa niaba ya Watanzania ambao hawajapata elimu kubwa.

Imekuaje kwa vyuo vyetu vya wakati huu. Au cku hizi Taifa halina changamoto yoyote? Sioni mijadala konki katika vyuo vyetu JUU ya mada zinazohusu maslahi mapana ya mama Tanzania.
 
Wasomi wengi wamegeuka machawa na kujipendekeza kwenye teuzi za wanasiasa. Mchango wao kwenye maendeleo ya jamii hauko. Na hii imeanza awamu ya 5 mwaka 2015 kuja mpaka sasa
 
Taasisi za elimu ya juu miaka ya nyuma nakumbuka ziliweza kutoa mawazo na michango ya kimawazo juu ya mambo mbalimbali ya kitaifa na yaliweza kusikilizwa na kufanyiwa kazi na serikali kwa niaba ya Watanzania ambao hawajapata elimu kubwa.

Imekuaje kwa vyuo vyetu vya wakati huu. Au cku hizi Taifa halina changamoto yoyote? Sioni mijadala konki katika vyuo vyetu JUU ya mada zinazohusu maslahi mapana ya mama Tanzania.
Magufuli aliharibu sana mfumo wa vyuo vikuu kutoa mawazo mbadala na kuwa na midahalo
Kwa magufuli ilikua ni kosa la kuuliwa ukimkosoa damage aliyoiacha itachukua sana mda kuirekebisha
 
Back
Top Bottom