Kile kinaitwa "Deep State" kipo kwa maslahi ya wachache

Burkinabe

JF-Expert Member
Feb 12, 2023
1,893
3,200
Kuna hii kitu inaitwa "Deep State", ambayo inadaiwa iko kila nchi duniani.

Baadhi huamini kwamba "Deep State" ipo kwa ajili ya maslahi mapana ya nchi na wananchi walio wengi.

Lakini binafsi naamini kwamba "Deep State" iko kwa ajili ya kulinda maslahi ya watu wachache tu wakiwamo wao.

Hii inathibitishwa na ukweli kuwa, viongozi wengi na wanaharakati ambao husimamia maslahi ya nchi zao na kuwatetea wanyonge, huwa hawachukui muda mrefu wanaondolewa au wanaondoka katika mazingira ya kutatanisha! Na mara nyingi ukifuatilia kwa undani, kuondoka kwao kunahusishwa na hao "Deep State".

Hivyo, inakatisha tamaa sana kuona chombo ambacho kilipaswa kuwa cha kupigania maslahi ya nchi na wananchi walio wengi, kinakuwa cha kulinda, kutetea na kupigania maslahi ya kikundi au vikundi vya watu wachache ambao mara nyingi huwa wabadhilifu na mafisadi wa mali za Umma.

Deep State, kama mpo kweli, mtangulize maslahi ya nchi zenu badala ya kuhangaika na viongozi wanaotetea maslahi ya wananchi wanyonge ili na wao angalau waishi maisha mazuri na kufaidi keki ya Taifa lao.
 
Acha wapate maslahi yao wakiendelea kuboresha maslahi ya wengine kidogokidogo.

Ni akili za wizi kutaka mtu afanye kazi na asipokee ujira wake.

Kama deep state inapangilia nchi, inastahili kupata faida (maslahi binafsi)
 
Kuna hii kitu inaitwa "Deep State", ambayo inadaiwa iko kila nchi duniani.

Baadhi huamini kwamba "Deep State" ipo kwa ajili ya maslahi mapana ya nchi na wananchi walio wengi.

Lakini binafsi naamini kwamba "Deep State" iko kwa ajili ya kulinda maslahi ya watu wachache tu wakiwamo wao.

Hii inathibitishwa na ukweli kuwa, viongozi wengi na wanaharakati ambao husimamia maslahi ya nchi zao na kuwatetea wanyonge, huwa hawachukui muda mrefu wanaondolewa au wanaondoka katika mazingira ya kutatanisha! Na mara nyingi ukifuatilia kwa undani, kuondoka kwao kunahusishwa na hao "Deep State".

Hivyo, inakatisha tamaa sana kuona chombo ambacho kilipaswa kuwa cha kupigania maslahi ya nchi na wananchi walio wengi, kinakuwa cha kulinda, kutetea na kupigania maslahi ya kikundi au vikundi vya watu wachache ambao mara nyingi huwa wabadhilifu na mafisadi wa mali za Umma.

Deep State, kama mpo kweli, mtangulize maslahi ya nchi zenu badala ya kuhangaika na viongozi wanaotetea maslahi ya wananchi wanyonge ili na wao angalau waishi maisha mazuri na kufaidi keki ya Taifa lao.
Deep state za Afrika huwa zipo kwa ajili ya maslahi yao na familia zao,na ata wakikutana ni kupanga ni nani atashika usukani,sasa eti Deep state inakaa na kuruhusu Kilaza kama January na Nape wawe viongozi,kweli!

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
 
Deep state za Afrika huwa zipo kwa ajili ya maslahi yao na familia zao,na ata wakikutana ni kupanga ni nani atashika usukani,sasa eti Deep state inakaa na kuruhusu Kilaza kama January na Nape wawe viongozi,kweli!

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
Wote hawa wakiwemo DEEP STATE watafyagiwa na Mungu soon. Bado kitambo tutapata akina Traore
 
Acha wapate maslahi yao wakiendelea kuboresha maslahi ya wengine kidogokidogo.

Ni akili za wizi kutaka mtu afanye kazi na asipokee ujira wake.

Kama deep state inapangilia nchi, inastahili kupata faida (maslahi binafsi)
Sawa deep state
 
Kuna hii kitu inaitwa "Deep State", ambayo inadaiwa iko kila nchi duniani.

Baadhi huamini kwamba "Deep State" ipo kwa ajili ya maslahi mapana ya nchi na wananchi walio wengi.

Lakini binafsi naamini kwamba "Deep State" iko kwa ajili ya kulinda maslahi ya watu wachache tu wakiwamo wao.

Hii inathibitishwa na ukweli kuwa, viongozi wengi na wanaharakati ambao husimamia maslahi ya nchi zao na kuwatetea wanyonge, huwa hawachukui muda mrefu wanaondolewa au wanaondoka katika mazingira ya kutatanisha! Na mara nyingi ukifuatilia kwa undani, kuondoka kwao kunahusishwa na hao "Deep State".

Hivyo, inakatisha tamaa sana kuona chombo ambacho kilipaswa kuwa cha kupigania maslahi ya nchi na wananchi walio wengi, kinakuwa cha kulinda, kutetea na kupigania maslahi ya kikundi au vikundi vya watu wachache ambao mara nyingi huwa wabadhilifu na mafisadi wa mali za Umma.

Deep State, kama mpo kweli, mtangulize maslahi ya nchi zenu badala ya kuhangaika na viongozi wanaotetea maslahi ya wananchi wanyonge ili na wao angalau waishi maisha mazuri na kufaidi keki ya Taifa lao.
Wasiojulikana
 
Deep state za Afrika huwa zipo kwa ajili ya maslahi yao na familia zao,na ata wakikutana ni kupanga ni nani atashika usukani,sasa eti Deep state inakaa na kuruhusu Kilaza kama January na Nape wawe viongozi,kweli!

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
Eti Mkuu!
Kila siku wanazidi kupanda vyeo pamoja na kelele za raia
 
Mkuu hao Deep State fuatilia vizuri utakuta ni viongozi wastaafu kwenye tawala zilizopita, viongozi wa vyombo vya dola waliostaafu na waliopo madarakani. Wote ni walio na wanaoondelea kufaidi cake ya taifa kwa halali na nyuma ya pazia. Hakuna namna wanaweza kukubali mabadiliko kwa faida ya umma, maana wanajua wao watakuwa waatharika wa mwanzo kwenye mabadiliko hayo.

Mara zote utakuta ni watu wanaolinda mifumo outdated, na hawako tayari kuona mabadiliko yoyote wasiyoyataka wao. Hawa deep state huweza kuondoka tu iwapo kutatokea machafuko, ama mapinduzi ya kijeshi. Na kwa hapa kwetu kikwazo Cha katiba mpya, ni hao deep state maana ni hatari kwa maslahi Yao binafsi.
 
Mkuu hao Deep State fuatilia vizuri utakuta ni viongozi wastaafu kwenye tawala zilizopita, viongozi wa vyombo vya dola waliostaafu na waliopo madarakani. Wote ni walio na wanaoondelea kufaidi cake ya taifa kwa halali na nyuma ya pazia. Hakuna namna wanaweza kukubali mabadiliko kwa faida ya umma, maana wanajua wao watakuwa waatharika wa mwanzo kwenye mabadiliko hayo.

Mara zote utakuta ni watu wanaolinda mifumo outdated, na hawako tayari kuona mabadiliko yoyote wasiyoyataka wao. Hawa deep state huweza kuondoka tu iwapo kutatokea machafuko, ama mapinduzi ya kijeshi. Na kwa hapa kwetu kikwazo Cha katiba mpya, ni hao deep state maana ni hatari kwa maslahi Yao binafsi.
Naunga Mkono hoja Mkuu.
Umeelezea vzr sana
 
Back
Top Bottom