HLSSF mshindani wa HESLB

gbrother

JF-Expert Member
Mar 22, 2011
408
51
Ndugu naomba tusaidiane kwa mwenye kujua undani hasa wa hii taasisi inaitwa HIGHER LEARNING STUDENT SUPPORTING FUND (HLSSF) ambayo nayo imetangaza kutoa mikopo ya elimu ya juu kama HESLB. Yenyewe ili uweze kupata mkopo unatakiwa uwe mwanachama wake kwanza kwa kulipia ada ya uanachama, then ndio unadownload form yao ya kuomba mkopo kwa tsh 20000, mwisho ni wa maombi ni tar 30/10. Hawajatoa criteria na mchanganuo wa mkopo hasa kiupambele ni course gani, ila ukimaliza chuo baada ya miaka miwili unatakiwa uwe umeanza kurudisha deni, na makato yake ni 10% ya salary, na ndani ya miaka kumi unatakiwa uwe umemaliza deni.

MWENYE KUWAJUA HAWA JAMAA KIUNDANI HATUJUZE MAPEMA JAMANI, YASIJE YAKAWA KAMA YA DECI.
 

mzuka kaka,
anayetaka link hiyo hapo,
ILA KIKUBWA JAMANI NI HAWA JAMAA NI WAKWELI? nimeangalia hao sponsors wao napata mashaka kidogo, pia namba ya secretary wameitoa na jina lake kwamba eti ukimkosa ofisini umpigie akufuate,
 
Mmhhh imesajiriwa kweli hyo? Hawa jamaa wameona kuna wanafunzi zaidi ya 10,000 wamekosa mkopo so hao wakiapply kwa 20,000/= unapata kama mil200 ambayo ni hela nyingi sana!! Huo ni wizi.
 
mmhhh imesajiriwa kweli hyo? Hawa jamaa wameona kuna wanafunzi zaidi ya 10,000 wamekosa mkopo so hao wakiapply kwa 20,000/= unapata kama mil200 ambayo ni hela nyingi sana!! Huo ni wizi.

siku zote wakatisha tamaa huwa hawakosi. Mbona kwenye learning institution tumezilipa hizo hela, mtu unaomba vyuo hata sita, kila chuo kina non refundable fee hujalamika?
 
Mmhhh imesajiriwa kweli hyo? Hawa jamaa wameona kuna wanafunzi zaidi ya 10,000 wamekosa mkopo so hao wakiapply kwa 20,000/= unapata kama mil200 ambayo ni hela nyingi sana!! Huo ni wizi.
Sasa wewe unawasaidiaje hao waliokosa mkopo? Wenzako wamekuja na njia ambayo angalau kwa hiyo wataweza kusaidia, wewe twambie msaada wako. Cha muhimu hapa ni kujiridhisha kama hawa jamaa ni legal entity na kutafuta ushauri wa kisheria, kama mambo ni safi chukueni mkopo vijana mkasome maana huko tuendako bila kuwa na elimu ya kutosha, hali itakuwa tete sana.
 
Ila inavyosemekana ni kwamba jamaa wanatoa kwa watu 1000 kwa kuanzia mwaka huu,
 
Ni muhimu kufikiria solutions za matatizo siyo kukalia critisims tu, ili twende mbele. Tuombe serikali yetu watusaidie kupata uhalali wao na si kusubiri watu wanatapeliwa ndo wanakuja na umuzimu kama walivyofanya mambo ya DECI.
 
Ni muhimu kufikiria solutions za matatizo siyo kukalia critisims tu, ili twende mbele. Tuombe serikali yetu watusaidie kupata uhalali wao na si kusubiri watu wanatapeliwa ndo wanakuja na umuzimu kama walivyofanya mambo ya DECI.

ilo la msingi, mpaka sasa cjui kama kuna taarifa ya serekali juu ya hawa jamaa, hata heslb sidhani km wametoa ushauri kwa waliokosa waombe uku,
 
Mzeiya hyo ki2 ni private au ni ya gvt, na kama vp 2pia link yao humu 2waone

HLSSF is registered as an NGO on October 30, 2008 under the NGOs Act No.24/2002 as per section 12(2) with the registration number 00NGO/00002621

vision yao hii hapa

To be the most credible and leading NGO in promoting and supporting higher education in Tanzania

Owners
HLSSF is founded by two members and it is under the ownership of its initial members and their successors. Probably let me use this opportunity to specially ask you to think about joining HLSSF.

Sponsors pameandikwa hivi
Cellular companies( e.g. tiGO, Vodacom, Zain, Zantel).

Mining companies( e.g. Barrick, Williamson, Anglo shiraz).

Soft drinks, beverages and alcoholic manufacturing companies (e.g. TBL, Coca cola, Pepsi, Kibo breweries, ).
 


HLSSF is registered as an NGO on October 30, 2008 under the NGOs Act No.24/2002 as per section 12(2) with the registration number 00NGO/00002621

vision yao hii hapa

To be the most credible and leading NGO in promoting and supporting higher education in Tanzania

Owners
HLSSF is founded by two members and it is under the ownership of its initial members and their successors. Probably let me use this opportunity to specially ask you to think about joining HLSSF.

Sponsors pameandikwa hivi
Cellular companies( e.g. tiGO, Vodacom, Zain, Zantel).

Mining companies( e.g. Barrick, Williamson, Anglo shiraz).

Soft drinks, beverages and alcoholic manufacturing companies (e.g. TBL, Coca cola, Pepsi, Kibo breweries, ).

sasa mbona watu walikua wanasema haijasajiliwa?
 
Hata hii mifuko ya hifadhi ya jamii inaweza pia kusaidia katika hili la mikopo. Wanaweza kuweka utaratibu utakaowezesha kuwakopesha watoto, ndugu au hata wanachama wenyewe kwa kutumia michango ya mwanachama kama collateral.
 
Back
Top Bottom