Hizi tabia zikome huku MMU haraka

Hizi tabia zikome huku MMU haraka

Haya sasa ......... Weken picha ngum watu mnawachanganya kwa Avatar izo na wengine wakisomatu michango yako unamvuta anajikuta keshakupm

Ubabe sasa ndio kidogo siuelewi unatokeaje wakati waweza tu kumpuuza --- Ukipenda lig kidogo itakusumbua

Picha ngumu ndio zipi!??

Ubabe mtu anakuja pm na kuanza kutaka namba ya sim loh!!!
 
Hiyo point yako ya 3 ya "kudhalilisha wanawake" i think inakuuma watoa mada wanaposema kuwa wanawake wanaopiga mizinga wanajiuza, because maybe ww ni Mmoja wa wanaopiga wanaume vibomu Apologise lady

Kwani nao wanataka wapewe bure ni salamu hii????? Sijamuona mwanaume wakumpiga kibomu tz hii.
 
Mimi wakati mwingine hadi najikuta nakasirika, hawalali kazi kutufedhehesha tu.

Hahaha mtafedheheshwa sana mkuu tatizo lenu na nyie Kama kambale , baba ndevu, mama ndevu Tabu tupu hamna namna sasa tutawaanika tu😀😀😀😀 Apologise lady
Cc rubii
 
Last edited by a moderator:
[5*] na wanaume wanaowadanganya wanaume wenzao wasiwape wapenzi wao pesa mkome tena mkome kabisa... uchoyo wenu uishie huko huko.

Mnavyopenda. Kutugeuza wanaume vicoba , papuchi zenyewe mnatubania miss chaga
 
Last edited by a moderator:
Hahaha mtafedheheshwa sana mkuu tatizo lenu na nyie Kama kambale , baba ndevu, mama ndevu Tabu tupu hamna namna sasa tutawaanika tu😀😀😀😀 Apologise lady
Cc rubii

Kama wanaume mlivyo na tabia moja???? Tuanikeni tu mtapata tuzo.
 
Last edited by a moderator:
ndo s mpeane tu kwan namba ya simu kitu gan peanen bhana kumnyima mtoto wa.mwanamke mwenzio zambi
 
yaani haya mambo ya humu yakakuseshe raha dada, utakuwa una yako kwa wakati huo
 
Back
Top Bottom