Hizi tabia zikome huku MMU haraka

Hizi tabia zikome huku MMU haraka

Aisee!!! Tabia hii Ya Kumfuata Mpenzi Wangu pm nakumwambia mimi ni play boy mkome..

Hii tabia ya wengine kujifanya mashoga na kuhitaji huduma kwa wanaume wenzenu mkome..

Na nyie mabinti mkiwa na Mwanaume mmoja mtulie Sio kurukaruka na kila suruali muionayo na kusababisha kero kwa wanawake wenzenu mkome na mkome kabisa.

Pia wale wote mnaojirahisha na kujazana pm za madada huku mkiwajua wamiliki wao ni tabia mbaya na Haivumiliki kabisaa na mkome mkome

Nikikumbuka mengine nitarudi
 
Hiyo point yako ya 3 ya "kudhalilisha wanawake" i think inakuuma watoa mada wanaposema kuwa wanawake wanaopiga mizinga wanajiuza, because maybe ww ni Mmoja wa wanaopiga wanaume vibomu Apologise lady
 
Last edited by a moderator:
Nawe kutuandikia humu ukome ��
 
Kuna tabia humu zinakera sana, zikome haraka sana.

  1. Tabia ya kila ukiletwa uzi na mwanaume kuhusu mke wake wanaume karibu wote wanamshauri mwenzao amwache mke wake, hiyo tabia mkome mkome, hamjui upande wa pili upoje wala kama yaliyosemwa ni ya kweli au mtu anatafuta sababu tu nyie mnapigilia msumari wa moto.

    Acheni hiyo tabia kabisa, humu tumo na fake id unaweza kuta unaropoka ropoka kumbe unavunja ndoa ya dada ako, shangazi yako na acheni kabisa hii tabia.

  2. Tabia ya mtu anaamua tu kuja kudhalilisha wanawake humu nayo ikome haraka, palipo na mwanaume lazima kuna mwanamke.

    Sasa iweje kila siku wanaume muishi kwa kuwakashifu wanawake etii kisa tu mtu kakunyima papuchi basi unakuja kutukana wanawake woteee duniani.

    Hii tabia ikome haraka.
  3. Tabia ya watoto wadogo kuingilia mada za watu wazima ikome, subirini ikifika wakati wako utachangia, acha kujikomaza, ka jogoo anayejifunza kuwika, anawika hata saa 7 mchana.

  4. Mwisho: Tabia ya mtu kuja pm wakati hUjui amekuja pm kufanya nini ikome, au mtu unakuja pm kuleta ubabe nayo ikome Ubabe peleka ulingoni.

    Pm ni sehemu ya kuongea faragha na jambo la msingi, sio kuja kujikanyaga kanyaga na kumaliziana charge OVER.

    Angalizo: Kama nimekukera kuwa mpole usije na matusi hapa.

    [/SIZE][/COLOR]


  1. Nimekupendaaaaa bure
 
Haya sasa ......... Weken picha ngum watu mnawachanganya kwa Avatar izo na wengine wakisomatu michango yako unamvuta anajikuta keshakupm

Ubabe sasa ndio kidogo siuelewi unatokeaje wakati waweza tu kumpuuza --- Ukipenda lig kidogo itakusumbua
 
Back
Top Bottom