Umemaliza kila kitu...Mimi sijaoa najapokua umetubagua, , ila Nakushauri na lazima ushauri wangu uuchukue ,utake usitake.
Mwanamke akibeba mimba kuna mawili apende mbooo sanaaa au achukie mbooo sanaaa( sababu ya mabadiliko ya homoni)
Kwann??
Kwa sababu mwanamke anapobeba mimba kuna mabadiliko makubwa ktk kila mfumo wake wa mwilin,na zaidi ni
Mabadiliko ya kutokua na usawa wa homoni za Estrogen na progesterone
Kuongezeka kwa mzunguko wa damu maeneo ya Yote ya K na kuzunguka K. Nahii hupelekea Kisimi chake kua Sensitive sanaaaa, mashavu ya K kua yamotoo sababu ya Damu eneo hilo, pia Kunakuwepo naongezeko kubwa la Uzalishwaji wa Ute ute mzitooo wa kuvutika, Matiti yake yanavyozidi kukua nayo ndo yakua sensitive sanaa
Hii inamaanisha kua ktk miezi 6 ya mwanzo, wanawake wengi upendaa mbooo sana.na kwakua wanapenda MBOOOO, WATAKYPENDA SANAAAA SANAAAA TU MUDA WOTE ATATAMAN AWE NAWEE.
KWANN Inaokea hawapendi???
Mabadiliko hayo hayo ya homoni, uchovu wa mimba, Mawazo, kichefu, na maudhi yoooote ya kipindi cha mimba, kwa wengine huwafanya kabisa Wasitamani mboooooo , sasa siku nzima kashinda anatapika, Atapenda mbooo???..wengine huwa wanahofu huenda mbooo ikamuumiza mtoto, huenda ikaharibu mimba n.k ..
Wanawake hawa hawatopenda mbooo, na kwakua hawapendi mbooo, WATAKUCHUKIA SANAAAAA SANAAA TUUU....MUDA MWINGINE ATATAMAN ASIKUONE MACHONI HUENDA HATA AKAWA ANATAMANIA UFE TU.
Wifi yetu tena...?Poleni na majukumu na COVID 19 ambayo sisi kama taifa ya JMT tumeamua kukana kuwa kinachotusumbua sio COVID bali na tatizo la upumuaji almaarufu kizungu kama pneumonia.Anyway tuachane na hilo twende kwenye mada.
MADA: Wifi yenu ni mjamzito wa miezi 6 ila cha kushangaza amekuwa na matabia ya ajabu kama mzimu ambapo anapelekea nitamani kumzaba mikofi ama nihame nyumba au nishinde bar. Unakuta ananifanyia matendo yanayoashiria hanipendi hata kuniona ambazo tabia hizo ni ngeni kabisa kwake ukifananisha na enzi zile hana mimba, mbaya zaidi mwenzenu nanyimwa uch.i leo ni siku ya 29 na hii imepelekea kurundikana kwa nye.ge mwilini mwangu ambazo zimezalisha hasira kali mno haswa ukijumLisha na kabila langu la kikurya yaani natamani hata nijambe ili nirelax. Mke wangu imefika point nikitoka kazini narudi home yeye anahama hata chumba analala kwenye chumba cha mtoto wetu wa kiume JUNIOR ambapo nye.ge zinanipelekea kumkufuru MUNGU mpaka naanza kumuonea wivu mwanangu Junior wa miaka 7
ANYWAY,Naomba niulize JE hivi visa vinavyoendelea kwa wake zetu wajawazito ni maigizo,FUTUHI,visasi au ni nini? nauliza hivi kwa sababu enzi za mimba ya JUNIOR mke wangu hakuwa hivi nakumbuka alikuwa anapenda niwe nimelala mapajani mwake huku tunaangalia movie chumbani kwetu leo hii nashangaa mimba hii imeniletea uhasama mpaka shetani wa kuchepuka anashinda masikioni mwangu akininong'oneza ma vitu ya ajabu ajabu.
ANGALIZO: Uzi huu ningependa uchangiwe na wenye wake au wanawake wenyewe ambao wapo kwenye ndoa au wenye experience na ujauzito tena ikibidi zaidi ya mmoja.Na wale wazee wa kutoona siku ndani ya mwezi mbio mpaka kwenye DUKA LA DAWA kwenda kununua MISOPROSAL naombeni mtoe like kwenye uzi na comments za wadau tajwa hapo juu
KARIBUNI TUJIFUKIZE KWENYE HUU UZI.
Ninakumbuka nikiwa mjamzito,nilimchukia sana mkaka fulani,yule kaka hakuwahi kunikosea kabla lakini baada tu ya kupata ujauzito nilimchukia kiasi mahali alipo sikutamani hata kupita.
Hata ukiniuliza sababu ya kumchukia mimi mwenyewe sijui.Ila tu nilijitahidi nisionyeshe chuki kiasi akajua.Sikuwa ninapenda ile hali lakini nilijikuta tu simpendi,Baada ya kujifungua ile hali ilipotea
Pia mimba ikiwa hatua za mwanzoni,mzazi mwenzangu ndio alikuwa ana experience zile hekaheka zote.Alikuwa anatapika,kuna wakati anahisi kama Bp inashuka,Anajisikia vibaya vibaya tu muda wote
Wakati huo mimi niko fresh kabisa
umenikumbusha mwanajamiiforum anaitwa Barafu la MotoYaani mimi tokea wife aniagize barafu la moto sina hamu naye kabisa
Yeaah hii imekaa KIROHO ZAIDI.Ninakumbuka nikiwa mjamzito,nilimchukia sana mkaka fulani,yule kaka hakuwahi kunikosea kabla lakini baada tu ya kupata ujauzito nilimchukia kiasi mahali alipo sikutamani hata kupita.
Hata ukiniuliza sababu ya kumchukia mimi mwenyewe sijui.Ila tu nilijitahidi nisionyeshe chuki kiasi akajua.Sikuwa ninapenda ile hali lakini nilijikuta tu simpendi,Baada ya kujifungua ile hali ilipotea
Pia mimba ikiwa hatua za mwanzoni,mzazi mwenzangu ndio alikuwa ana experience zile hekaheka zote.Alikuwa anatapika,kuna wakati anahisi kama Bp inashuka,Anajisikia vibaya vibaya tu muda wote
Wakati huo mimi niko fresh kabisa
hii ya mwanaume kujiskia hzo dalili sjawahi kuielewa inakuaje aseeNinakumbuka nikiwa mjamzito,nilimchukia sana mkaka fulani,yule kaka hakuwahi kunikosea kabla lakini baada tu ya kupata ujauzito nilimchukia kiasi mahali alipo sikutamani hata kupita.
Hata ukiniuliza sababu ya kumchukia mimi mwenyewe sijui.Ila tu nilijitahidi nisionyeshe chuki kiasi akajua.Sikuwa ninapenda ile hali lakini nilijikuta tu simpendi,Baada ya kujifungua ile hali ilipotea
Pia mimba ikiwa hatua za mwanzoni,mzazi mwenzangu ndio alikuwa ana experience zile hekaheka zote.Alikuwa anatapika,kuna wakati anahisi kama Bp inashuka,Anajisikia vibaya vibaya tu muda wote
Wakati huo mimi niko fresh kabisa
umemaliza kila kitu mkuu😂😂Yeaah hii imekaa KIROHO ZAIDI.
ukitaka uhakika wake, Muulize Mama aliyefiwa mwanawe ivi""" Siku mwanao kabla ya kufariki ulikua unajisikiaje"""
Utasikia ,yaan siku hiyo ,niliamka sio kawaida yangu, mwili ukawa unaumaa, tumboo likawa linauma sana, uchovu na mfadhaiko mwingi ..baadae ndo nikapata taarifa za Kuondokewa na mwanangu..
Wanadamu katika Uzao mmoja wa Damu wameunganishwa.
Ndio sababu nawee ulikua fresh, lkn mwanaume ndo akawa anajisikia ovyoovyo
Wanaposema, Usizin, Usifanye uasherati. Maana yake, ni kupeusha kubeba Roho za wengine, nakuziingiza kwako mwilin na ndani
Sema pale kati ni patamu ..tutafanyaje sasa ndug zangu ?
Nasema uongo?
Eehh tuvumiliane tu My wangu Lily Tonyumemaliza kila kitu mkuu