Kama wew si mpenzi wa taarabu waachie wahusika kwani lazima tupende vitu unavyopenda
kwa hiyo kwa kuwa wanaume nao wana roho ndio wavae sketi, mikufu, hereni na kusuka nywele kama wanawake wanavyoshobokoa taarab ama?Kumbuka na mwanaume ana nyama ,roho kama ya mwanamke kwa hiyo ana kila aina ya kitu kukipenda kama wanavyopenda wanawake
midundo ya ukweli bana....wacha mzee atupe raha huku tunajipachika kwenye mawowowo ya warembo
Pole ila ungenijulisha tu ningekuja kukurescueTeh tehh. Hata mimi sio mpenzi lakini nimejikuta nacheka. Jana mimemsikia mzee yussuf anasema kitu kama kwishnei ----. Nikastuka. Anyway nikasema na baridi hii nisije kuwa naskia kitu roho inapenda kimbe sio.
yani avatar yako tu inaonyesha.. umekerwaIjapokuwa mimi sio mpenzi wa haya manyimbo ya taarab lakini nimepata kusikia kipande kwenye mashairi ya mzee yusuf ambayo yamenisikitisha sana.
Mzee yusuf (MY) alikuwa akiimba huku akiitikiwa na dada (DD) mmoja:
MY: Mpenzi wangu nipe rahaaaa!
DD: Nipe raha mpaka nikojoeeee!
Ndugu zangu, hii maana yake ni nini? Kwa nini jamii inalazimishwa kusikilizishwa matusi huku vyombo vinavyohusika na sanaa nchini (BASATA na/au COSOTA) vikiwa kimya?
Na ni bahati mbaya kwamba wadau wakubwa wa hizi taarab ni kinamama na watoto. Tunawafundisha nini watoto wetu kwa hizi nyimbo za matusi?
MAJANGA!