cathode
Member
- Jan 26, 2018
- 78
- 54
Heshima kwenu wakuu.Nisipoteze muda napenda kuleta mrejesho kuhusu hizi simu zinazouzwa Kwa bei ya promosheni ni kisanga baada ya simu yangu kuleta shida ya display nikairudisha kwao Tigoshop wakagoma kunibadilishia ingawa ilikuwa ndani ya warrant nikasema fresh tatizo umaskini. Yote kwa yote kwa sasa mara ionyeshe majina mara yasionekane nikaamua kumpa wife aiburuze maana yeye haangalii ubora wa simu shikamoo mchina.