Hizi ni sababu kwanini Ajira za serikalini ziwe za mkataba na si za kudumu

Nshomile wa Muleba

JF-Expert Member
Dec 5, 2015
2,165
5,551
Habarini?

Mpaka sasa kuna kadirio la almost 100,000 graduates wa vyuo vikuu na vya kati nchini Tanzania KILA MWAKA, jambo ambalo linapelekea idadi ya watu ambao hawajaajiriwa kuwa kubwa “jobless”

HOJA YANGU INATOKEA HAPA

Mfano mdogo tu;
Mtu anaajiriwa serikalini kama afisa ugavi lets say akiwa na miaka 25, Huyu mtu atakaa kazini mpka miaka 65(kustaafu) hapo nimeondoa dhana za kujiuzulu, kifo na kutenguliwa.

Unakuja kupiga hesabu unaona NAFASI MOJA IMEKALIWA NA MTU MMOJA KWA MIAKA 40.......MIAKA 40 guys, ndipo huyu mtu atoke na nafasi yake ijazwe na mwingine, sasa rejea chuoni

Kwa mwaka wanao-graduate vyuoni kozi ya “Afisa ugavi ni wangapi? ( tuweke mfano kuwa wanagraduate 1000 kila mwaka)
chukua hao graduates zidisha na miaka 40 ambayo yule mtumishi aliajiriwa, unapata watanzania 40,000 ( nimechukulia mfano wa nafasi moja )
uone how much tunatengeneza majobless nchini kwetu.Je? nchii hii inakwenda wapi.

Naweza nsieleweke na watu wenye uwezo mdogo wa kufikiri ila wale wenye upeo mpana washajua nini kinaongeleka.

HITIMISHO
Nashauri ajira serikalini ziwe za mkataba wa muda maalum ili baada ya kumaliza muda wake awapishe wengine walau na wao waje wapate ajira hiyo,
zifuatazo ni faida ambazo tunaweza kuzipata;

(i) itamfanya muajiriwa wa serikali asibweteke muda mrefu na muda wote akili yake itakuwa inawaza njia mbadala za kipato.

(ii)itapunguza wizi na ubadhilifu serikalini kutokana na waajiriliwa kukosa muda wa kutosha kutengeneza mianya ya kuiba pesa za umma.

(iii)itatoa “equal opportunities” kwa watanzania wote kupata nafasi hiyo kwa “different intervals”

(iv) keki ya taifa italiwa na kila mtu na siyo mtu mmoja miaka kibaaooo.

(v) Waajiriliwa watatengeneza mitaji ili wanaopoondoka wakajiajiri kupitia kilimo,biashara na n.k kupitia mishahara yao wakati wapi ajirani.

(vi) Itapunguza jeuri za baadhi ya waajiriwa kujiona “MIUNGU WATU” na itajengeka dhana kuwa nafasi ya ajira serikalini ni KUTUMIKIA UMMA na si kunyanyasa raia.

(vii) Tutatengeneza dhana ya kuwa elimu si kuajiriwa tu bali hata kujiajiri toka mashuleni kutokana na ajira za mikataba

zingine mtajazia

USHAURI
Nafahamu mfumo kama huja na changamoto nyingi ila naamini faida ni nyingi kuliko changamoto zake.

(PIA DHANA HII HATA KWA WANASIASA ITAKUWA NZURI MFANO UBUNGE KUGOMBEA IWE MIAKA 10 KAMA UKOMO BAADA YA HAPO APISHE VIJANA WENGINE).

IMG_5137.jpg



Mwalimu wa walimu
Nawasilisha
 
Una Hela za kuwalipa kiinua mgongo hao wafanyakazi kila baada ya mikataba kuisha?
 
Graduates inabidi tue elvo sasa kuangalia fursa za ujasiria mali, we cant all be employed by the government au private organisations
 
Kutokana mfumo wetu elimu ulivyo, unaoandaa wahitimu kuajiriwa, ajira za mikataba wa muda mfupi utasababisha umasikini na ufukara mkubwa katika jamii kubwa.

Wengi wanategemea wasome ili waje kuajiriwa maisha yao yawe stable. Wengine wanategemewa na ukoo mzima kusapoti mambo fulani ya maendeleo ya familia zao kama kusomesha ndugu zao na matibabu, kuinua ndugu zao kiuchumi kutokana na mishahara wanayopata.

Uzeeni wanaishi uzee usio na shida na pesa kwa kuwa pensheni inatoka. Sasa ajira za temporary wengi mikataba yao ikifika tamati na hawakuonesha ufanisi wa kazi ndio basi tena.

Morali ya kusoma kwa bidii na kujiendeleza ili mshahara upandishwe daraja na muundo wa utumishi utashuka kwa kuwa hakuna atakayejua kama atadumu muda mrefu kwa kuongezewa mkataba mpya
 
Habarini?

Mpaka sasa kuna kadirio la almost 100,000 graduates wa vyuo vikuu na vya kati nchini Tanzania KILA MWAKA, jambo ambalo linapelekea idadi ya watu ambao hawajaajiriwa kuwa kubwa “jobless”

HOJA YANGU INATOKEA HAPA!!!

Mfano mdogo tu;
Mtu anaajiriwa serikalini kama afisa ugavi lets say akiwa na miaka 25, Huyu mtu atakaa kazini mpka miaka 65(kustaafu) hapo nimeondoa dhana za kujiuzulu, kifo na kutenguliwa.

Unakuja kupiga hesabu unaona NAFASI MOJA IMEKALIWA NA MTU MMOJA KWA MIAKA 40.......MIAKA 40 guys, ndipo huyu mtu atoke na nafasi yake ijazwe na mwingine, sasa rejea chuoni

Kwa mwaka wanao-graduate vyuoni kozi ya “Afisa ugavi ni wangapi? ( tuweke mfano kuwa wanagraduate 1000 kila mwaka)
chukua hao graduates zidisha na miaka 40 ambayo yule mtumishi aliajiriwa, unapata watanzania 40,000 ( nimechukulia mfano wa nafasi moja )
uone how much tunatengeneza majobless nchini kwetu.Je? nchii hii inakwenda wapi.

Naweza nsieleweke na watu wenye uwezo mdogo wa kufikiri ila wale wenye upeo mpana washajua nini kinaongeleka.


HITIMISHO............................

Nashauri ajira serikalini ziwe za mkataba wa muda maalum ili baada ya kumaliza muda wake awapishe wengine walau na wao waje wapate ajira hiyo,
zifuatazo ni faida ambazo tunaweza kuzipata;

(i) itamfanya muajiriwa wa serikali asibweteke muda mrefu na muda wote akili yake itakuwa inawaza njia mbadala za kipato.

(ii)itapunguza wizi na ubadhilifu serikalini kutokana na waajiriliwa kukosa muda wa kutosha kutengeneza mianya ya kuiba pesa za umma.

(iii)itatoa “equal opportunities” kwa watanzania wote kupata nafasi hiyo kwa “different intervals”

(iv) keki ya taifa italiwa na kila mtu na siyo mtu mmoja miaka kibaaooo.

(v) Waajiriliwa watatengeneza mitaji ili wanaopoondoka wakajiajiri kupitia kilimo,biashara na n.k kupitia mishahara yao wakati wapi ajirani.

(vi) Itapunguza jeuri za baadhi ya waajiriwa kujiona “MIUNGU WATU” na itajengeka dhana kuwa nafasi ya ajira serikalini ni KUTUMIKIA UMMA na si kunyanyasa raia.

(vii) Tutatengeneza dhana ya kuwa elimu si kuajiriwa tu bali hata kujiajiri toka mashuleni kutokana na ajira za mikataba

zingine mtajazia

USHAURI...............

Nafahamu mfumo kama huja na changamoto nyingi ila naamini faida ni nyingi kuliko changamoto zake.


( PIA DHANA HII HATA KWA WANASIASA ITAKUWA NZURI MFANO UBUNGE KUGOMBEA IWE MIAKA 10 KAMA UKOMO BAADA YA HAPO APISHE VIJANA WENGINE)
View attachment 2585256


Mwalimu wa walimu
Nawasilisha
Kumbuka Kuna watumishi wanastaafu Kila mwaka, wengine wanafariki plus majanga mengine kazini yanayomuondoa mtu kazini

Law of natural selection let the nature to decide.
 
Habarini?

Mpaka sasa kuna kadirio la almost 100,000 graduates wa vyuo vikuu na vya kati nchini Tanzania KILA MWAKA, jambo ambalo linapelekea idadi ya watu ambao hawajaajiriwa kuwa kubwa “jobless”

HOJA YANGU INATOKEA HAPA!!!

Mfano mdogo tu;
Mtu anaajiriwa serikalini kama afisa ugavi lets say akiwa na miaka 25, Huyu mtu atakaa kazini mpka miaka 65(kustaafu) hapo nimeondoa dhana za kujiuzulu, kifo na kutenguliwa.

Unakuja kupiga hesabu unaona NAFASI MOJA IMEKALIWA NA MTU MMOJA KWA MIAKA 40.......MIAKA 40 guys, ndipo huyu mtu atoke na nafasi yake ijazwe na mwingine, sasa rejea chuoni

Kwa mwaka wanao-graduate vyuoni kozi ya “Afisa ugavi ni wangapi? ( tuweke mfano kuwa wanagraduate 1000 kila mwaka)
chukua hao graduates zidisha na miaka 40 ambayo yule mtumishi aliajiriwa, unapata watanzania 40,000 ( nimechukulia mfano wa nafasi moja )
uone how much tunatengeneza majobless nchini kwetu.Je? nchii hii inakwenda wapi.

Naweza nsieleweke na watu wenye uwezo mdogo wa kufikiri ila wale wenye upeo mpana washajua nini kinaongeleka.


HITIMISHO............................

Nashauri ajira serikalini ziwe za mkataba wa muda maalum ili baada ya kumaliza muda wake awapishe wengine walau na wao waje wapate ajira hiyo,
zifuatazo ni faida ambazo tunaweza kuzipata;

(i) itamfanya muajiriwa wa serikali asibweteke muda mrefu na muda wote akili yake itakuwa inawaza njia mbadala za kipato.

(ii)itapunguza wizi na ubadhilifu serikalini kutokana na waajiriliwa kukosa muda wa kutosha kutengeneza mianya ya kuiba pesa za umma.

(iii)itatoa “equal opportunities” kwa watanzania wote kupata nafasi hiyo kwa “different intervals”

(iv) keki ya taifa italiwa na kila mtu na siyo mtu mmoja miaka kibaaooo.

(v) Waajiriliwa watatengeneza mitaji ili wanaopoondoka wakajiajiri kupitia kilimo,biashara na n.k kupitia mishahara yao wakati wapi ajirani.

(vi) Itapunguza jeuri za baadhi ya waajiriwa kujiona “MIUNGU WATU” na itajengeka dhana kuwa nafasi ya ajira serikalini ni KUTUMIKIA UMMA na si kunyanyasa raia.

(vii) Tutatengeneza dhana ya kuwa elimu si kuajiriwa tu bali hata kujiajiri toka mashuleni kutokana na ajira za mikataba

zingine mtajazia

USHAURI...............

Nafahamu mfumo kama huja na changamoto nyingi ila naamini faida ni nyingi kuliko changamoto zake.


( PIA DHANA HII HATA KWA WANASIASA ITAKUWA NZURI MFANO UBUNGE KUGOMBEA IWE MIAKA 10 KAMA UKOMO BAADA YA HAPO APISHE VIJANA WENGINE)
View attachment 2585256


Mwalimu wa walimu
Nawasilisha
Uzoefu ni muhimu katika utendaji kazi za kitaalamu, ikimstafisha daktari mzoefu wa mifupa huyu graduate asie jua hata kuandika diagnosis report ya mgonjwa ataweza kitu kweli? Au ndo kuua tasina kabisa.
 
Tutoe elimu nzuri yenye ushindani kimataifa
Vijana waende nje pia kufanya kazi
Warudishe pesa na ujuzi nyumbani
 
Back
Top Bottom